Wewe Lyrics by BEN POL


Kama anaona ni sawa
Anachofanya ni sawa
Siwezi kum force, siwezi kumi azimisha
Si ananiona mi boya
Anachofanya kunikomoa
Anajua nampenda ndo maana anipeleka puta
Moyoni wangu, natamani nikutoe
Natamani nisikupende tena wewe wewe
Maumivu yangu huyajali hata kodogo
Hivi una roho gani mbaya sana wewe wewe

Mi nataka kuwa na we
Kuwa na wewe tu
Ulonifanya kuwa na we
Kuwa na wewe tu
Mi nataka kuwa na we, wewe tu
Ulonifanya kuwa na we

Hivi alitaka nini kwangu nikashindwa kumpatia
Mbona mapenzi nilimpa na hata pesa nilimpa
Kumbe hana jema, hana jema
Na inavyoonekana hata ningempa nini angenitema
Ulivyo mzuri mtu hawezi kudhani kama una roho mbaya wewe
Sura yako na metendo yako havifanani nawe

Watch Video

About Wewe

Album : Wewe (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jan 19 , 2023

More BEN POL Lyrics

BEN POL
Why
BEN POL
BEN POL
BEN POL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl