ASLAY Baby  cover image

Baby Lyrics

Baby Lyrics by ASLAY


Unazima simu yako ukiwa na mimi
Nimesha kua mume wako hasira za nin
Tena upungze vituko tukiwa chumbani
Mendokama baba yako nilo kuweka ndani
Hee

Habari zako nazi pataga
Minabakitu me naumia
Una nitukana uki lewami
Sina kitu naki bamia
Natamani nije kukumwaga
Ila siwezi nitaumia
Punguza vituko basi we dada
Nipate rahaya duniaaa yaya

Baby basi
Tuliza yangu naaafsi
Tuache utoto bas
Twende na wakatii
Baby basi tuliza yangu nafsi
Tuache utoto basi twende na wakatii...

Kikubwa heshima
Najua siwezi kua pekeangu
Tunza langu jina mama
Na uwa ogope ma rafiki zangu
Nakupenda sana
Hutaki kubadilika we mwenzangu
Unani nyanyasa sana
Kisa na linda hili penzi langu

Oh baby ogopa maradhi
Tusije tuka ziikwa mapema
Utani samehe kama me nakosea kusema
Habari zako nazipataga
Nabakitu me naumia
Unanitukana ukilewaga
Sina kitu na kibamia
Natamani nije kuku mwaga
Ila siwezinita umia
Punguza vituko basi we dada
Nipate raha ya dunia yaya

Baby basi tuliza yangu nafsi
Uache utoto basi
Twende na wakati
Baby basi tuliza yangu nafsi
Uache utoto basi twende na wakaati

Mama wololo wololo
Mapenzi yamekabakoo kabakoo
Kaja kunitoa roho toa roho
Kamoyo kako mbio mbio mbio

Mama wololo wololo
Mapenzi yamekabakoo kabakoo
Kaja kunitoa roho toa roho
Kamoyo kako mbio mbio mbio

Baby basi
Unaniumiiza mwenzako oh
Ooh baby basii...

Watch Video

About Baby

Album : Baby (Single)
Release Year : 2017
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 11 , 2020

More ASLAY Lyrics

ASLAY
ASLAY
ASLAY
ASLAY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl