MASHMWANA Lala Salama cover image

Lala Salama Lyrics

Lala Salama Lyrics by MASHMWANA


Salama aah, salama aah
Salama aah, salama aah
Salama aah, salama aah
Salama aah, salama aah

Naomba uwepo wako japo kidogo
Nawaza nawaza kama litaisha hili ndoto
Mwenzako nakutafuta na mwenzangu sikuoni
Mawazo yako yamenijaa nahisi nimefika ukingoni

Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama
Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama

U salama, ulale salama
Ooh baba salama, ulale salama
Oooh salama, ulale salama
Oh baba salama, ulale salama

Sitakufa moyo maana niko na wewe Yahweh, Yahweh
Hata kwa machozi unabaki wewe Yahweh tu, Yahweh
Umekuwa baba, baba wa yatima
Umekuwa mume, mume wa wajane wote baba

Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama
Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama

U salama, ulale salama
Ooh baba salama, ulale salama
Oooh salama, ulale salama
Oh baba salama, ulale salama

Watch Video

About Lala Salama

Album : Lala Salama (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 22 , 2021

More MASHMWANA Lyrics

MASHMWANA
MASHMWANA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl