Me Siogopi Lyrics by KHALIGRAPH JONES


Yeah, ahuu
Scorpion, ahuu
Mi siogopi, ahuu
Yeah, yeah

Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Leo ni movie mnataka kuona na mi si Tokodi(Mi si Tokodi)
Visanga tutafanya leo lazima tupatiwe notice(Riakakakaka)
Lakini ambia mwenye nyumba nimesema siondoki(Hahahaa)

Cheki vile nimekafunga boss na mi sio chopi(Na mi sio chopi)
Mapesa najua kutafuata sana na mi siokoti(Na mi siokoti)
Makesi si pia natatua sana na mi sio korti(Na mi sio korti)
Na kale kambwenya kangu ka seko sina, na miss hio koti(Na miss hio koti)

Si tuko kimoja nikisema hawa ma OG ni konki(Konki fire)
Wako na kikosi ya mbogi ya Odi ya kina Munyoki(Munyoki murogi)
Na mi na Munyoki tukikuja kwako si hatutoki(No never)
Na ka una shida kimbia polisi ukapige ripoti(Toka kwenda)

Si aki ya nani leo lazima tuvunje rekodi(Vunja kivolume)
Ju kuna bash ya kuzima wasanii wa ngoma shoddy(Zima kabisa)
Si tuserereka mpaka wathii watoke na magoti(Hahaha)
But hizi ni vitu si tumezoea si hatuogopi(Rrrraah)

Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Ka ni vitisho tumezoea, me siogopi, me siogopi
Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Ka ni vishasha tumezoea, me siogopi(Rrraah kakakaka)

Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Me siogopi, me siogopi, me siogopi(Si me siogopi)
Me siogopi(Na we huogopi?) me siogopi(Ka we huogopi)
Me siogopi(But me siogopi) me siogopi(Rrraah kakakaka)

Oya gathee, hii si lingala mi sio Koffi(Mi sio Koffi)
Na ukinihalla nipate Java na miss hio coffee(Na miss hio coffee)
Cheki vile mi huwaliza ngori na mi sio Kofi(Kofi Annan)
Na ukijaribu kuleta nyoko nyoko hapa ni makofi(Blurry f"ckin)

Tabia za Pozze zinaweza fanya useme siokoki(Aki ya nani)
Lakini wacha ninyamaze gathee nibaki kwa topic(Ukanyamazesh)
Hii ngoma nimefanya na Omollo na mi siwachochi(Omollo mgani?)
Omollo mmoja yule alishinda trophy (Brrrraaaah)

Nishawachanua mi siogopi
Mi ni kurutu jo mi sio softi
Ka ni kuroga then mi ndio bossi
Ka unaugua then hii ndio hosi
Hii ni beef jo hii sio Sossi
Hii ni hit jo au sio Motif
K.O.B jo leta hio coffin
Nirest in peace jo mi siogopi

Mabuda mnachoma kazi ni ku copy paste 
Hawa ma yungin ndo pia nyi mtrend
Mbona msikubali mmechapa 
Ni ka mnasaka career zenyu zimeend
Mnazoza kwa mneti mashow mnapiga 
Na zinafanyika ka kila weekend
Na ngoma mkitoa the only platform 
Mnapata ni Citizen 10 over 10

Mi nipe candle siwezi potea
Ju kitu nafanya ni ngumu kusample(Woo)
Hard kuwa rapper lakini ikibidi 
Namada pia beats za dancehall(Rrraaah)
Favourite rapper wako batty boy 
Tulimpata akinunua tampoons
Mbogi yangu ya ubakora ni major
Utatupata na akina Kansoul

Acha kiburi punguza kelele
Zako pang’ang’a kwa mtaa we ni mwere
Utageuzwa kichungi ukizidi na kwere
Nilianza kuhustle enzi za Nyerere
Legendary kama Luanda Magere
Nina ofisi huko Mwea Tebere
Niko na maratchet wale ukiketi mbaya 
Soda yako watakuwekea mchele

Before nianze rap hapa Kenya 
Kulikuwa na shortage ya skill
Hakukuwa na talent(Omollo)
Akina Pinye walimada industry 
Wakafanya ikuwe barren
Wakasema nisiroge na ngoso
Ati sababu sijatoka Karen
But F*ck you n*gga, guess sai 
Nani anapiga mavideo na kina Clarence

HBR nangoja mnipigie simu mniambie pole 
Hio top 50 mlitoa 
Inaonyesha vizuri hamkufika hata college 
Ju ka si Khali ndio number 1 
Inaonyesha vile mmedharau jina
Freestyle zangu ndo 
Most viewed on your channel
Na bado mnakosa heshima

Aaah, aki ya nani, eyoo Motif imebakia nani
Mbona wathii hawanitakii amani
Hii game me naif*ck ninaimwagia ndani
Nani hapa Kenya ameisukuma 
Hii culture ya Hiphop kushinda Omollo?(Iyee)
K.O.B na Khaligraph kwa battle field tunasimama solo

Ahh unarada fiti 
Kuna wasanii kadhaa bado wasaliti
Wanasaka kiki, si hawataki kuona sisi tukipaa
Watafurahi tukikaa Kamiti
OG we are brand them amachichi
Ama vipi bado mi nafanya mziki
If it ain't about the money don't tryna reach me
Nishamaliza hii kitu inakaa mazishi

Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Ka ni vitisho tumezoea, me siogopi, me siogopi
Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Ka ni vishasha tumezoea, me siogopi(Rrraah kakakaka)

Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Me siogopi, me siogopi, me siogopi(Si me siogopi)
Me siogopi(Na we huogopi?) me siogopi(Ka we huogopi)
Me siogopi(But me siogopi) me siogopi(Rrraah kakakaka)

Watch Video

About Me Siogopi

Album : Me Siogopi (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Blue Ink Corp
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 10 , 2019

More KHALIGRAPH JONES Lyrics

KHALIGRAPH JONES
KHALIGRAPH JONES
KHALIGRAPH JONES
KHALIGRAPH JONES

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl