Nenda Lyrics by MACVOICE


(Ayolizer)
Mmmh siri ya mwezi
Siri ya nyota, siri ya angani
Siri ya njozi usingizi
Siri ya kitandani
Ila siri ya penzi, siri ya moyo
Siri ya nani?
Siri ya chozi ni maumivu ndani kwa ndani

Mapenzi niliyaanzisha yakanifurahisha
Yakanibadilisha jamani
Na sio tu kumridhisha
Nikamdhaminisha, nikamtamulisha nyumbani
Sasa leo yamekwisha yananidhalilisha
Yananiaibisha hadharani
Ila yote ni maisha, japo nahuzunika
Eeh wa kuninyamazisha ni nani?

Sijuti kukufahamu, ila najuta kukuamini
Kasuku ndege wangu leo umekuwa bundi
Pokea zangu salamu, bado sijui nitapona lini?
Umevunja moyo yangu, we ndo ulikuwa gundi

Ile siku unafungasha mabegi
Ulidondosha picha yako dondo
Ndo naypjilazia kwa bedi
Aki ya Mungu umenipiga zongo

Naomba msalimie shemeji
Aki ya nani amepata chombo
Na kama ukiskia nimededi
Jua ni mawazo msongo

Nenda, salama nenda
Nenda, salama nenda
Nenda, salama nenda
Nenda, salama nenda

Nikiwa na marafiki kwenye sura naongopa
Ila moyo unasota
Nikiwa peke yangu siwezi
Chozi linanidondoka

Nahisi kama naota
Hivi kweli umeondoka
Yanautesa moyo mapenzi 
Mpaka kupenda naogopa

Umesema hutaki tena kuiona sura yangu
Kwenye simu umefuta namba zangu
Ila jibu lipo kwa Mola wangu
Mi nasubiri

Kila baya unasema ukitaja jina langu
Umesahau yote mazuri yangu
Basi nilindie madhaifu yangu
Unisitiri

Sijuti kukufahamu, ila najuta kukuamini
Kasuku ndege wangu leo umekuwa bundi
Pokea zangu salamu, bado sijui nitapona lini?
Umevunja moyo yangu, we ndo ulikuwa gundi

Ile siku unafungasha mabegi
Ulidondosha picha yako dondo
Ndo naypjilazia kwa bedi
Aki ya Mungu umenipiga zongo

Naomba msalimie shemeji
Aki ya nani amepata chombo
Na kama ukiskia nimededi
Jua ni mawazo msongo

Nenda, salama nenda
Nenda, salama nenda
Nenda, salama nenda
Nenda, salama nenda
(Nenda salama, oooh)

Mwenzako naogopa, ogopa iyeaaaaah 

Kila baya unasema ukitaja jina langu
Umesahau yote mazuri yangu
Basi nilindie madhaifu yangu
Unisitiri

(Kamix Lizer)

Watch Video

About Nenda

Album : My Voice (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Next Level Music
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 25 , 2021

More lyrics from My Voice album

More MACVOICE Lyrics

MACVOICE
MACVOICE
MACVOICE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl