MATTAN Mbaya cover image

Mbaya Lyrics

Mbaya Lyrics by MATTAN


Mmmh uliniendekeza ukanidekeza
Leo waniteketeza kweupe
Jua likiangaza

Na nikakupumbaza
Maana nakuona sio wewe yule
Nakujua, nakujua

Natafuna ndio
Ni ngumu kumeza nayoyaona
Umenifanya kibogoyo
Wapi mnofu kutafuna

Na kama ungelikuwa na tatizo
Uyaweke sawa na kama
Kuna mambo hayajakaa pweke sawa

Na kama kuna jambo nilitenda
Nisamehe na kama
Nisamehe nisamehe

I say uko wapi mpenzi  doli we
Ushaniacha nyongo ishatumbuka
We bwaga doli we, Wah
Kitumbua kwa mchanga 
Kupanguza natanga tanga
Na nikakupiga umanyanga 
Ukingoja umeyumba Wah

Ah lalala, we haya haya 
We haya haya, we haya haya 
We haya haya, we haya haya 

Aah...aah

Umeunguza mapocho 
Hadhi sina nanuka lujasho
Wamepita na chocho
Kweli kikulacho ki nguoni
Kitu hicho

We mwiba wa bocho
Kweli umenichoma nilipopoa macho
Rafiki yake chokocho
Wanionea wanionea

Sina namna kuyahimili yote haya
Ndo jawabu nimevuna 
Kukosa kwangu yote heri

Ila wewe lipa, wewe mpaka ni mbaya
Umetenda bila haya
Ama kweli we ni mbaya 

I say uko wapi mpenzi  doli we
Ushaniacha nyongo ishatumbuka
We bwaga doli we, Wah
Kitumbua kwa mchanga 
Kupanguza natanga tanga
Na nikakupiga umanyanga 
Ukingoja umeyumba Wah

Ah lalala, we haya haya 
We haya haya, we haya haya 
We haya haya, we haya haya 

Watch Video

About Mbaya

Album : Mbaya (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 28 , 2020

More MATTAN Lyrics

MATTAN
MATTAN
MATTAN
MATTAN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl