Nitasahau Lyrics by LINEX SUNDAY MJEDA


(Kimamba on the beat)
The V.O.A

Indazi la vyala 
Hizi ni ziga sungura
Indazi la vyala 
Hizi ni ziga sungura

Zilionipenda na umbali wako
Najiona mtu huru 
Najikwamua kutoka kwenye pango
Nishakuweka kwenye mfeni nikauona usaliti wako
Nishakupimanga imani nikauona usaliti wako

Au labda binadamu kwako kazi
Unilipe uzuri kwa ubaya
Huna heri utavuta shari

Nakuja daily nyumbani
Unayapeleka vijiweni
Tushakuwa ndege tusiofanana
Kwani tunalumbana tunagombana

Kwanini nikusubiri wewe 
Kuifanya furaha yangu 
Nayaanza maisha mapya 
Natembea kwa zake baraka
Na nitasahau yote yaliyopita

Kwanini nikusubiri wewe 
Kuifanya furaha yangu 
Nayaanza maisha mapya 
Natembea kwa zake baraka
Na nitasahau yote yaliyopita

Imeshashindikana kuruka pamoja
Hakuna haja ya kuanzisha hoja
Na sijilaumu 
Sioni kama nimepoteza

Labda tukuwe wote ndoto moja 
Hakuna haja ya kuanzisha hoja
Na kwanini kisa wewe 
Unifanye nione dunia chungu?

Who are you? 
And where you from?
Ulinipa furaha jana 
Leo kaichukua

Au labda binadamu kwako kazi
Unilipe uzuri kwa ubaya
Huna heri utavuta shari

Nakuja daily nyumbani
Unayapeleka vijiweni
Tushakuwa ndege tusiofanana
Kwani tunalumbana tunagombana

Kwanini nikusubiri wewe 
Kuifanya furaha yangu 
Nayaanza maisha mapya 
Natembea kwa zake baraka
Na nitasahau yote yaliyopita

Kwanini nikusubiri wewe 
Kuifanya furaha yangu 
Nayaanza maisha mapya 
Natembea kwa zake baraka
Na nitasahau yote yaliyopita

Yote yaliyopita
I can forget, I can forget 
Everything about you

Watch Video

About Nitasahau

Album : Nitasahau (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 13 , 2019

More LINEX SUNDAY MJEDA Lyrics

LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl