BEDA ANDREW Mbali Sana cover image

Mbali Sana Lyrics

Mbali Sana Lyrics by BEDA ANDREW


Nalikuwa sijiwezi
Unyonge ulinielemea
Sikuwa na tumaini
La mbele kuendelea
Imani ilififi, sikuona kabisa
Kama moja ya nyenzo ilyotikisika
Nalikosa tabasamu usoni
Tegemeo sikuona maishani

Nikashindwa endelea mbele
Hali iliyofanya nikwame Kule
Ulikonitoa ni mbali sana
Ni kweli umenikomboa nashukuru sana
Ulikonitoa mbali sana
Ukanikomboa na zile laana
Mbali sana
Mbali sana
Mbali sana
Nashukuru bwana
Uliona haiko shwari Mimi kupotea njia
Sijui ni namna gani uliwaza ukanihurumia
Na nilifanania jangwa mvua kutonyeshea
Nami mche mbichi maji yalinikaukia
Shida mateso Sina tena yamewekwa nyuma
Mimi wa Yesu mwingine Sina wa kunirudisha nyuma
Wakati wa kuokolewa umekubalika
Kwa haki na ushupavu wake ukatimizika
Ulikonitoa ni mbali sana
Ni kweli umenikomboa nashukuru bwana
Ulikonitoa ni mbali sana
Ukanikomboa na zile laana
Mbali sana
Mbali sana
Mbali sana
Kwenye mateso Kule
Mbali sana
Nalionelewa
Ukanisaidia
Mbali sana
Eeeh mbali eeeh
Mbali sana
Ulikonitoa bwana wewe
Nashukuru wewe
Nashukuru bwana
Naah naah
Mbali sana
Mbali sana
Mbali sana

Watch Video

About Mbali Sana

Album : Mbali Sana (Album)
Release Year : 2019
Copyright : ©2019
Added By : Trendy Sushi
Published : Mar 10 , 2020

More BEDA ANDREW Lyrics

BEDA ANDREW
BEDA ANDREW
BEDA ANDREW

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl