BEDA ANDREW Nayaweza cover image

Nayaweza Lyrics

Nayaweza Lyrics by BEDA ANDREW


Baba amesema kwamba, tumwite nae atasikia 
Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea
Baba amesema kwamba, tumwite nae atasikia 
Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea  

Ila tuwe na imani nayeye
Tukiamini anaweza yote eeeeh 
Mwenye hofu ajigange moyo 
Akiamini Mungu yupo 

Huku tukifanya kazi 
Tukipambana tukipambana 
Tukimwamini wetu mwokozi 
Yesu wa maana ashushae baraka aaah aaah 
 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 

Palipo na nia pana njia
Tena hutimia
So nenda polepole utafika
Yanini kukimbia eeeh?

Fanya magumu kama hujayaona
Japo yanachoma usijali wewe 
Wanaokucheka watapata homa 
Pale wakikuona unasonga mbele 

Daily mapambano pigana 
Ukisaka Day 
Wanaokucheka leo achana nao 
Tazama kesho yakooooh 
 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 

Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 

Watch Video

About Nayaweza

Album : Nayaweza (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 04 , 2021

More BEDA ANDREW Lyrics

BEDA ANDREW
BEDA ANDREW
BEDA ANDREW

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl