Unaionaje Lyrics by HARMONIZE


Haa! Kumekucha masela hebu chembezeni stick,
manaake mziki hauna hela ila ila hela kuiopata mziki,
sifichi ambao hawapendi wanakoma 
hasa ndo naua band maana natoboa kila ngoma,
wananisoma ngoma bomba kwa "touch"
waloniambia nile kone nkaambia wale penalty
toka jiji la samaki mama alipo nipa siri
kuwa biashara faster hakuna mwanaharakati tajiri....
pili watu waajabu sana ila me na adhabu sana
mabeste, hapo nilikusoma mwana wasanii wanaloga sana,
ndo maana mipete (wote chechee) wote tunampenda Mungu,
maana mpaji hapingiki...
sa vipi anakupa hi huku akisema Mungu akubariki
siwezi kushiriki kwenye dhambi yako,
ili ukatwe mikono kisha ule kwa macho
nisipo vuja jasho alokuwa nyuma yangu atakula wapi,
hapo ndo naamini kuwa wenye huruma hanaga bahati,
huu ndo uwezo binafsi vijana m-relaxy,
nakuomba usimtusi baba kama ujui utakula wapi

Na hadithi za sungura me sitaki ehe!
niletee hadithi za watoto wenye chura wa masaki
naukisikia nauza sura juu ya laki
maana uhai ni faida ikiwa hasara ni nafsi

Usichoke we kunja, kunja ukunjavyo,
me ntatusua hizi juhudi sio ndomba akisha,
panga apangayo uwezi pangua
asa temeke na ilala ah! ah! (unaionaje) yeah!
hadi manzese, mabagala ah! ah! (unaionaje) yeah!
unaionaje

Haa! Chuki huletwa na wivu na kushushiana hadhi,
na rafiki ndo atakae kuharibia kazi,
atakupindishia michongo na kukuvunjia nazi,
bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi,
ila sisi kazi kazi wengine tumetoka kwenye msoto
kuoga mpaka tushikwe viboko
naona umeandaa mkaa arufu hauna kiberiti we mtoto
chokoza wana wakuwashie moto
hebu nipite kushoto maana unanichukia
hata unisaidii unanitukana hata sifatilii sizimi chuku
maana mwisho kuroga wisho unakuwa
mchawi kwa maana utamu kunoga
unaogopa nini toba we binti acha uoga 
mbona unakula beer arufu nguvu niza soda 
sura hashiki poda unasifiwa na mawaki
kisha unaota mabembe utazani umekula nyati

Watch Video

About Unaionaje

Album : Unaonaje (Single)
Release Year : 2017
Copyright : ©2017
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 09 , 2020

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl