Mtaje Lyrics by HARMONIZE


Ana kasura ka upole
Miaka nenda rudi hazeeki
Tena ni mtu wa gym gym
Shepu ndo linanipa wazim zim

Na cartoon mchore
Ila ndo hilo tena hapendeki
Ama kweli mapenzi hayana mwalimu
Wengine hata kuniona ni adimu

Hivi tuseme ana ngekewa
Ama nyota yake kali ananizidi
Ama mjini nimechelewa
Ona wengine wanamponda wanamuita bibi

Nilianza kumuona mapema
Enzi za mabanda ya sinema
Alikuwaga ni rafiki na Wema
She is so cute

Acha wanione mshamba tu
Mtuta hawezi kunipigia honi
Umri nao ni namba two
Kinachoniuma anajifanya  haoni

Kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Basi kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Anayelenga kwa rula siku zote ndo apatae
Mwambieni mwanangu Paula mi nampenda mamaye
Tena ni fundi wa kuchanua ah
Utasema samaki ng'onda 
Hapo ndo nikagundua ah
Hii ni kiriwani za Makonda

Kwa daladala, ninashindwa kulala lala lala
Anambadalda dala dala, anaitoka ka

Hakika ye ndo kiboko yangu
Jua likiwaka ikinyesha
Utembo na ujeshi wangu
Geti ni kwake nilikesha

Mtihani wa mapenza hakuna aliyefuzu
Sawa unywe pombe na useme nguzu
Na mtu kisha penda unakuwa zuzu
Ati nawazaje kuwa mama zuzu

Kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Basi kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Watch Video

About Mtaje

Album : High School (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Konde Music Worldwide.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 05 , 2021

More lyrics from High School album

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl