Dunia Lyrics by HARMONIZE


Nikifikiria dunia huwaga sipati jibu
Nawaza mpaka nadata
Nikikuuliza nini dunia huwezi kunipa jibu
Hapo ndo napata utata

Mmmh muda mwingine unaweza dhani ni utani
Mbona vitu vizuri vyote viwe ni vya shetani
Eti mziki shetani, pesa nazo shetani
Mpira na pombe shetani
Mademu na mihadarati, shetani

Naamini Mungu yupo najua
Ndo ananifanya ninapumua 
Akitaka hata sasa ananichukua
Ila mi nataka kujua
Ni nini dunia, dunia dunia dunia 
Hivi ni nini dunia 

----------------------

Nikifikiria dunia huwaga sipati jibu
Nawaza mpaka nadata
Nikikuuliza nini dunia huwezi kunipa jibu
Hapo ndo napata utata

Mmmh muda mwingine unaweza dhani ni utani
Mbona vitu vizuri vyote viwe ni vya shetani
Eti mziki shetani, pesa nazo shetani
Mpira na pombe shetani
Mademu na mihadarati, shetani

Naamini Mungu yupo najua
Ndo ananifanya ninapumua 
Akitaka hata sasa ananichukua
Ila mi nataka kujua
Ni nini dunia, dunia dunia dunia 
Hivi ni nini dunia 

Watch Video

About Dunia

Album : High School (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 23 , 2021

More lyrics from High School album

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl