Sifa Lyrics by ALI MUKHWANA


(Still Alive)

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Uliyenipa uzima (Zima)
Uzima wa bure (Bure)
Unastahili sifa Bwana

Uliyenipa uzima (Zima)
Uzima wa bure (Bure)
Unastahili sifa Bwana

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Uliyeziumba usiku na mchana
Mimi mwenyewe ni kazi ya mikono yako
Baba nitumie jinsi upendavyo
Nami nitumike jinsi utakavyo

Eh maana bila wewe mimi ni kazi bure (Bure)
Maana bila wewe mimi si chochote

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Pokea, pokea sifa bwana
Pokea chukua Yesu
Pokea chukua Yesu, pokea chukua 
Pokea chukua Yesu, pokea chukua

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Watch Video

About Sifa

Album : Watakusema (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) Still Alive Production Limited
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 25 , 2020

More lyrics from Watakusema album

More ALI MUKHWANA Lyrics

ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl