Haufananishwi Lyrics by ALI MUKHWANA


Umeimarisha njia zangu wewe Baba
Umenifanya wa dhamana ewe mungu
Umeimarisha njia zangu wewe Baba
Umenifanya wa dhamana ewe mungu

Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi
Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi
Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi

Angalia roho yangu
Ni wewe Baba uliyeokoa
Sikukua hivi Baba
Nikiangalia miaka kumi
Iliyopita Baba mungu wangu
Ni nani angenipenda
Ni nani angenitamani
Baba ni wewe, uliyefanya haya
Yesu ni wewe, uliyetenda haya
Ni wewe, uliyenipa nyumba
Ni wewe, uliyenipa magari haya bwana

Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi
Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi

Angalia mazinoira ya boma yangu
Ni wewe Baba umefayanya ee
Angalia maisha yangu jinsi yaliyo
Ni wewe Baba umeniinua ee
Ni wengi walinicheka, wakasema sitaweza
Ni wengi waliniaibisha, wakasema sitaweza
Ni wengi walinicheka, wakasema ninaenda wapi
Alichukua shida zangu zote Baba
Alichukua laana zangu zote Baba
Alichukua dhambi zangu zote, akazitundika msalabani
Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi

Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi
Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi

Umenifanya wa dhamana bwana
Umenifanya wa msingi bwana
Umenifanya wa dhamana bwana
Umenifanya wa dhamana bwana

Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi
Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi
Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi

Hata nikiimba, wimbo hautoshi
Hata nikiomba Baba, maombi hayatoshi
Uliyoyatenda ni mengi
Hatua zangu ninazozipiga
Ni wewe taa ya miguu yangu bwana

Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi
Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi
Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi
Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi
Nikulinganishe na nani
Kumbe Baba haulinganishwi
Nikufananishe na nani
Kumbe Baba haufananishwi

Watch Video

About Haufananishwi

Album : Haufananishwi (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Jan 20 , 2022

More ALI MUKHWANA Lyrics

ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl