...

Mwizi Lyrics by ZUCHU


Ayo lizer

Do you know

When you call me your queen

Mwenzako i feel so happy happy

Do you know

That you're my favorite human being

Unakuanga so lovely, lovely

Ah, jamani mwizii iiih moyo kaniibia

Nahisi kihirizi ah, kanichimbia

Mana uchizi si uchizi nachanganyikiwa

Mapenzi kikohozi, kwake nimepaliwa

Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)

And i swear to god kwako hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)

Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)

And i swear to god kwako hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)

Ooh, tazama ndege anganiii

Wanaimba na kucheza

Zuuunzunzun we mama nyukilia wee

Niliomba dua nami nipate wa kunipendeza

Mungu tu alie mwema amenipa we

Naamini mungu wetu mwema ndo amenipa we

Omalinchanwa huoni ka tunaendana

Wenyewe tumetulizana

Tabia vimo twafanana saana

Mapenzi bwana hata tugombane mchana

Usiku tumeshapatana twacheka na kutekenyana sanaa

Jamani mwiziii moyo kaniibia

Nahisi kihirizi ah, kanichimbia

Mana uchizi si uchezi nachanganyikiwa

Mapenzi kikohozi, ah nimepaliwa

Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)

And i swear to god hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)

Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)

And i swear to god hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)

Watch Video

About Mwizi

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : Copyright ©2024 WCB Wasafi. All rights reserved.
Added By : Farida
Published : May 24 , 2025

More ZUCHU Lyrics

ZUCHU
ZUCHU
ZUCHU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl