
Mwizi Lyrics
...
Mwizi Lyrics by ZUCHU
Ayo lizer
Do you know
When you call me your queen
Mwenzako i feel so happy happy
Do you know
That you're my favorite human being
Unakuanga so lovely, lovely
Ah, jamani mwizii iiih moyo kaniibia
Nahisi kihirizi ah, kanichimbia
Mana uchizi si uchizi nachanganyikiwa
Mapenzi kikohozi, kwake nimepaliwa
Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)
And i swear to god kwako hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)
Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)
And i swear to god kwako hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)
Ooh, tazama ndege anganiii
Wanaimba na kucheza
Zuuunzunzun we mama nyukilia wee
Niliomba dua nami nipate wa kunipendeza
Mungu tu alie mwema amenipa we
Naamini mungu wetu mwema ndo amenipa we
Omalinchanwa huoni ka tunaendana
Wenyewe tumetulizana
Tabia vimo twafanana saana
Mapenzi bwana hata tugombane mchana
Usiku tumeshapatana twacheka na kutekenyana sanaa
Jamani mwiziii moyo kaniibia
Nahisi kihirizi ah, kanichimbia
Mana uchizi si uchezi nachanganyikiwa
Mapenzi kikohozi, ah nimepaliwa
Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)
And i swear to god hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)
Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)
And i swear to god hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)
Watch Video
About Mwizi
More ZUCHU Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl