ZEE Sina cover image

Sina Lyrics

Sina Lyrics by ZEE


Naalia mambo ni mengi
Sipati jibuu
Naumia visa ni vingi
Maajaribuu

Silali(Haiya)
Nasinziaa kutwa nawaza waza
Hatarii nitajifia
Yaani nawaza waza

Haya haiyaaiyaa (Moyo nina moyo)
Hayaa ah haiyaiyaiya ha(Nna moyoo)
Hanipi mapenzi ataka nimpe yeye(Moyo we nna moyo)
Hanilishi nishibe ataka ale yeye

Usingizi sina
Usingizi sina
Usingizi sina
(Sina sina)

Usingizi sina
Matanga na mimi 
Mi na matanga ka popo
Usingizi sina

Hivi ni nani mwenye penzi 
La dhati nimpokee(Nimpokee)
Aso kisirani nikivunja
Masharti atanisamehe(Atanisamehe)

Kama yule Sesi na Juma
Hamisi na Mwajuma, wana enjoy 
Asiwe kapasta na suma
Chaku nunanuna, sitaenjoyy

Haya haiyaaiyaa (Moyo nina moyo)
Hayaa ah haiyaiyaiya ha(Nna moyoo)
Hanipi mapenzi ataka nimpe yeye(Moyo we nna moyo)
Hanilishi nishibe ataka ale yeye

Usingizi sina
Usingizi sina
Usingizi sina
(Sina sina)

Usingizi sina
Matanga na mimi 
Mi na matanga ka popo
Usingizi sina

Watch Video

About Sina

Album : Sina (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 11 , 2020

More ZEE Lyrics

ZEE
ZEE
ZEE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl