ZABRON SINGERS Imenigharimu cover image

Imenigharimu Lyrics

Imenigharimu Lyrics by ZABRON SINGERS


Imenigharimu sana mimi kuwa hapa
Acha Mungu awe Mungu
Tangu kuzaliwa kwangu ujana uzee
Acha wahimili acha

Kwenye giza kaniwekea nuru
Nisihangaike
Kwenye shida hutengeneza njia
Watu wake tunapita

Nimekuja kugundua umbali umenileta
Acha Mungu nikusifu
Ju sina Mungu mwingine 
Wakunitendea haya hakika wanikumbuka

Hivi nilivyo ni Mungu ni yeye kaniwezesha
Ni Mungu mwenye uweza
Nitaendelea kuvuka popote niko na Mungu
Ni Mungu yuko na mimi

Ni mengi nimepitia baada ya kufika hapa
Wadhani Mungu ni nani?
Tena mengi akanivusha, na baraka zikapanda
Wadhani Mungu ni nani?

Ni nani? Ni nani
Yeye ni nani? Tena kwani Mungu ni Nani
Mungu ni Nani?

Kuzihesabu tu siku
Ni nguvu za Mungu ndio maana niko hai
Sikumpa chochote 
Wakati wa Mungu unapofika umemfika
Nilipokuita hukusita, ulisema nami
Ninakushukuru umenipa maisha mazuri

Nimekuja kugundua umbali umenileta
Acha Mungu nikusifu
Ju sina Mungu mwingine 
Wakunitendea haya hakika wanikumbuka

Hivi nilivyo ni Mungu ni yeye kaniwezesha
Ni Mungu mwenye uweza
Nitaendelea kuvuka popote niko na Mungu
Ni Mungu yuko na mimi

Ni mengi nimepitia baada ya kufika hapa
Wadhani Mungu ni nani?
Tena mengi akanivusha, na baraka zikapanda
Wadhani Mungu ni nani?

Hivi nilivyo ni Mungu ni yeye kaniwezesha
Ni Mungu mwenye uweza
Nitaendelea kuvuka popote niko na Mungu
Ni Mungu yuko na mimi

Ni mengi nimepitia baada ya kufika hapa
Wadhani Mungu ni nani?
Tena mengi akanivusha, na baraka zikapanda
Wadhani Mungu ni nani?

Utabaki kuwa Mungu

Watch Video

About Imenigharimu

Album : Imenigharimu (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 13 , 2021

More ZABRON SINGERS Lyrics

ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl