WILLY PAUL Kanungo cover image

Kanungo Lyrics

Kanungo Lyrics by WILLY PAUL


Naskia naumwa kichwa (yeah yeah)
Naski sijihisi vyema (yeah yeah)
Pozee
Nitaishi vipi bila wewe mpenzi niwie radhi
Ni mimi mpenzi nimekosea (aah)
Ni mimi mpenzi nimekosea (aah aah)

Lakini mwana hajakosea (yeah yeah)
Kama kuhukumu nihukumu mie(yeah yeah)
Baby tazama machozi yani dondoka mimi (eeh)
Baby tazama machozi (yeah yeah...)

Naskia unaolewa my baby my honey
Na mimba umepanga toa ya kwangu mimi
Mpenzi unanijua niko na hayo uchungu moyoni
Mpenzi unanijua niko na haya mawazo kichwani

Baby kweli nilikosea lakini mtoto hakukosea
Naomba usinisamehe lakini umsamehe
(yeah yeah...) (mamaaa....)(ooooh yeah....)

Naskia
Amekununulianga kanyumba, ndio ucheze naenae kanungo
Amekununulianga kanyumba unitoe kwa moyo
Amekununulianga kanyumba, ndio ucheze naenae kanungo
Amekununulianga kanyumba unitoe
Baby kweli unampenda huyu jamaa
Nieleze kweli unampenda huyu jamaa

As much as najua huwezi nisamehe(heeehee..)
Ningependa ujue bado nakumind(heeehee..)
Nilidhani nitaanza familia nawe
Nilidhani shida zetu tutazipiga sote beiby eeh
Kweli sio kila mtu mwenye maumbile nzuri ni mzuri aiiii
So don't judge a book by its cover(oooh oohh....yeah)

Naskia
Amekununulianga kanyumba, ndio ucheze naenae kanungo
Amekununulianga kanyumba unitoe kwa moyo
Amekununulianga kanyumba, ndio ucheze naenae kanungo
Amekununulianga kanyumba unitoe
Baby kweli unampenda huyu jamaa
Nieleze kweli unampenda huyu jamaa
As much as najua huwezi nisamehe
Ningependa ujue bado nakumind

Naskia naumwa kichwa (yeah yeah)
Naskia sijihisi vyema (yeah yeah)

Nitaishi vipi bila wewe mpenzi uniwie radhi
Kama siko na wewe umuhimu gani wa kuishi?
Kama hauko na mimi haja gani ya kuishi?

Amekununulianga kanyumba, ndio ucheze naenae kanungo
Amekununulianga kanyumba unitoe kwa moyo
Amekununulianga kanyumba, ndio ucheze naenae kanungo
Amekununulianga kanyumba unitoe

(mama mama mamamaaa......)

The word of God inasema.... Learn to forgive


 

Watch Video

About Kanungo

Album : KANUNGO (Single)
Release Year : 2018
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 14 , 2018

More WILLY PAUL Lyrics

WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl