VIRUSI MBAYA Lazima Watii cover image

Lazima Watii Lyrics

Lazima Watii Lyrics by VIRUSI MBAYA


Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Vile tunakam, lazma watii eeh
Vile tumejam, lazma watii eeh

Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Vile tunakam, lazma watii eeh
Tunakam tumejam uh uh, lazma watii eeh

Tokea na kikolo chimbia solo 
Ndio mastoner watii
Tokea na mathao na sio za mkopo
Ndio mambleina watii

Tokea na maslay na wote waweigh
Ndio ma hyena watii
Tokea na magoon na wote si wagood
Ndio mafcker wameshatii

Ulikata kutii naskia walikushika hadi mashati
Mi siwezi tumika bro mi si sheria na masharti
Hao marookie lazima watii ndio tukubali waingie pro
Na si please ni lazima watatii ama itabidi watie roho 
Kutii lazima utatii ama utatiwa kidole cha kati

Sijui leo niko juu ya nini 
But I think ni worse zaidi ya mihadarati
Kijana teenager but anakaa worse than miaka 30
Cheki vile wasee wanatii from mababi to wanatii

Looku fiti cheki dem yako ametii
Ligi bigi mpaka game yako itatii
Mi ni chizi siwezi rap kuhusu Bey T
Daily niko busy nawaambia bei wanatii

Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Vile tunakam, lazma watii eeh
Vile tumejam, lazma watii eeh

Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Vile tunakam, lazma watii eeh
Tunakam tumejam uh uh, lazma watii eeh

[Oksyde]
Lazima lazima lazima, lazima mafala watazima
CCTV nimepima nacheki tu ni mizinga mizima
Eey ziko fogo kijinga zingine zimesundwa kwa dinga
Mbogi mzima imeririma yoh ni kitu inawashwa ikizima

Vile napull up mbota ni ice nafanya wacool up
Shashula kwa ndula, marashi ni ya reggea ukinusa ni stula
Kanduku lazima tuakishe, kanduku wathii ni lazima nipitie
Manugu ni lazima watii, lazima tuwateke washee

Eey nimesuka atoti tuwake na mbleina atakuja na mbogi
Nachuma kwa koti mbleina anajichocha kurusha soki
Virusi nyambisha hio itoka (Pah Pah pah pah)
Si hivyo ndo mbleina alitokwa (Aha aha, aha aha)

Wanajua ni ngori lugha ya mine ni lazima nikatie
Katoto kapeng na form ikijipa ni lazima nikatie
Wasoro tuwachuje waishie  (Lazima watii)
Ama tuwaibie, mambo ni bie eey

Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Vile tunakam, lazma watii eeh
Vile tumejam, lazma watii eeh

Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Lazma watii, lazma watii, lazma watii eeh
Vile tunakam, lazma watii eeh
Tunakam tumejam uh uh, lazima watii eey

Watch Video

About Lazima Watii

Album : Lazima Watii (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 14 , 2020

More VIRUSI MBAYA Lyrics

VIRUSI MBAYA
VIRUSI MBAYA
VIRUSI MBAYA
VIRUSI MBAYA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl