SNURA Chuzi Limemwagika  cover image

Chuzi Limemwagika Lyrics

Chuzi Limemwagika Lyrics by SNURA


Jamani chuzi hilo
Mmeliona chuzi hilo
Oneni chuzi hilo
Wanangu chuzi hilo

Macho kodo linapopota
Dodo di dodo linavyopwita pwita
Wanashangaa linavyotingishika eeh
Wakiliona wanataka kushika 

Jamani chuzi hilo (Limemwagika)
Mmeliona chuzi hilo (Limemwagika)
Jamani chuzi hilo (Limemwagika)
Mmeliona chuzi hilo (Limemwagika)

Snura mmemuona
Anavyocheza mmemuona?
Na yule mmemuona anavyokata mmemuona?
Wanangu mmemuona jamani mmemuona?
Nasema mmemuona, na yule mmemuona?

Ukilitia mhogo linanoga je
Ukitia matembele linanoga je

Na lile, na lile 
Na lile, na lile 

Wa mbele anacheza, wa nyuma anambaishia
Na wa chini anakaa, wa juu anamkalia 
Wa mbele anacheza, wa nyuma anambaishia
Na wa chini anakaa, wa juu anamkalia 

Kila siku anadanga kupenda offer za bia
Kajitia kiranga chuzi limemwagikia
Kila siku anadanga kupenda offer za bia
Kajitia kiranga chuzi limemwagikia

Haya sasa zamu ya watoto
Wa mwananyamala kulimwaga chuzi
Na lile, na lile 
Wako wapi watoto wa kinondoni
Mwageni chuzi

Jamani chuzi hilo (Limemwagika)
Mmeliona chuzi hilo (Limemwagika)
Watoto wa Magomeni mpo
Na lile, na lile 

Haya watoto wa Mguruni
Sijaona sijaona sijaona 
Jamani chuzi hilo (Limemwagika)
Mmeliona chuzi hilo (Limemwagika)

Aah, jamani nini tena
Hatujaskia watoto wa Buza
Aah mnataka watoto wa Mpalange?
Basi sawa 

Na lile, na lile 
Na lile, na lile 

Watch Video

About Chuzi Limemwagika

Album : Chuzi Limemwagika (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 16 , 2021

More SNURA Lyrics

SNURA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl