Tiamo Lyrics by SMILE THEGENIUS


Ya nurula in kwako sinaga maneno
Nipo tafarani nishafikaga kikomo
Na ulivyo lain wakulaga vinono
Twende nchi gan Cuba ama Philipino

Nami natulia
Nikiwa nawe amini
Yaani nakwambia nishakulaga ya amini
 Nawe hutojutia, wewe kunipenda mimi
Nishasabiliaa, moyo mpaka maini

Basi zunguka kidogo ukichutuma
Katika kidogo huku umeinama eh
Zungusha kidogo danadana
Huku vetu viuno vikiunganaa

Ti amo, ti amo, ti amo my sweet potato
Ti amo, ti amo lololo
Ti amo mi nakupendaga sana
Ti amo, ti amo eeh tiamo my sweet potato
Tiamo, tiamo

Kwa sura umenimaliza kwa chumba umeniweza
Sinagaga chokochoko pande bili
Jasiri umenifunza cihafu umenikkataza
Lololo wangu ni wewe
Ooh nicharangecharange
Ukipenda niounge kama mwana kwa mama
Sumu kaloo kupenda
Tamu hasa ukipendwa na miee sana eeh
Hakulalamaa sunna sana aah
Penzi langu mie
Namuomba maulama kwetu Usiku mchana aah kwetu litimiee

Basi zunguka kidogo ukichutuma
Katika kidogo huku umeinama eh
Zungusha kidogo danadana
Huku vetu viuno vikiunganaa

Ti amo, ti amo, ti amo my sweet potato
Ti amo, ti amo lololo
Ti amo mi nakupendaga sana
Ti amo, ti amo eeh tiamo my sweet potato
Tiamo, tiamo

Basi zunguka kidogo ukichutuma
Katika kidogo huku umeinama eh
Zungusha kidogo danadana
Huku vetu viuno vikiunganaa

Basi zunguka kidogo ukichutuma
Katika kidogo huku umeinama eh
Zungusha kidogo danadana
Huku vetu viuno vikiunganaa

 

Watch Video

About Tiamo

Album : Tiamo
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Apr 27 , 2020

More SMILE THEGENIUS Lyrics

SMILE THEGENIUS
SMILE THEGENIUS
SMILE THEGENIUS
SMILE THEGENIUS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl