Amina Lyrics by SANAIPEI TANDE


Aaaaah aaaaah aaaaaaah aaaaaaah
Aaaaah aaaaah aaaaaaah aaaaaaah


Oo-oh mama, panguza chozi
Siyatafakari vita vya juzi
Si kupenda kwangu kukuudhi
Ila tu ujana haubagui
Dada panguza chozi
Sijitie lawama kwa uzushi
Kwani vita kati ya mandugu
Si ya firauni

Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hiio
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina

Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina

Ooh mpenzi panguza chozi
Sijijaze chuki wewe moyoni
Hasira hasara
Yote ya mwenyezi
Oh rafiki panguza chozi
Sijiumize we kichwa na maswali
Utansamehe sana kwenda
Bila mkono wa buriaani

Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina

Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina

Ooh sina sina sina sina
Nafasi nyingine
Ya kuwa na wewe
Nasikitika mi naumia
Lakini nina nina nina nina
Shukrani moyoni
Yakuwa miongoni
Mwa walo nienzi mi

Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina

Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina

Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina A...A ..Amina
Amina Amina

 

Watch Video

About Amina

Album : Amina (Single)
Release Year : 2017
Added By : Afrika Lyrics
Published : Jan 21 , 2019

More SANAIPEI TANDE Lyrics

SANAIPEI TANDE
SANAIPEI TANDE
SANAIPEI TANDE
SANAIPEI TANDE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl