RAPCHA Don't Play This Song cover image

Don't Play This Song Lyrics

...

Don't Play This Song Lyrics by RAPCHA


Smoking everyday hoping I will die sober

Wallet haijashiba and na nna get much older

Dunia haina mwenyewe so kataa uoga

All ass kissers don’t play this song

Straight up

Success haiwi overnight

Ndoto niliyonayo kubwa ila I’m sure haiko oversize

Ingawa huu ni mziki wa kidunia hata huyo

shetani asingeweza rap hivi, On God

Ndoto yangu kubwa kabla ya kutamani nyumba na magari nlitamani kuiona Mbingu

Mungu akanibariki vingi zaidi ya nyumba na magari na akafanya nkiwa duniani nikaiona Mbingu

Safina ikirudi mara ya pili sijui kama hata ntapata nafasi

Wenye nafasi wamejaa ubinafsi

Binafsi wanangu ntawakumbusha kila asubuhi

Wasitumie pesa kutafuta vitu ambavyo pesa hainunui

Iwe normal tu kusema hapana

Tena of course tunaingia sana hasara kwa kukwepa lawama

Tena mostly kwa kufurahisha wana

So ukiona sijawahi kuku’impress don’t play this song

Cosmas P

Kila nilichokosa shule nakipata kwenye kila conversation na P

Nikihema juu ya beat ni Hit

Ukali wangu upo kwenye ngoma zangu ambazo huzizingatii

Sina time ya mchezo Mr devil leo haunipati

Sitaki kujieleza, sina tena mpango wa kupoteza wakati

Macho kwenye pay I’m on a mission

Bado siwezi relax

Macho kwenye pay

Mishe mishe ziko macho day and night

Uuuh uuh

Uuhh uuh

Uuuh uuh

Uuhh uuh

MVP kwenye pitch I’m a real star

Sense in everything I spit kwenye each bar

Fucking this game na style zote linakaa

Hawa Polisi hawaleti peace wanatunyima raha

Niwe faraja kwenye vilio

Mi sihitaji kuwa maarufu nahitaji tu dunia nzima inipe sikio

So ukihisi Mfoy anatafuta ustaa social media wala usipoteze mb don’t play this song

Na ntapiga billion streams muda ambao wote mtapagawa

Mkiwa busy kuwalea machawa

Busy mkijiuliza tu kwanini wasanii hawapatani

wakati swali linatoka kwa wanaowagawa,

Hamna power

Mziki umechange my story

Sitosahau siku Father P ananipa deal ya over 20 milli

Kila siku mpya naongezeka akili sio mwili

Big shoutout whoever play my songs

nnavyozidi kwenda juu nazidi kuwa mpweke tu

Sometimes nacheka mbele ya camera tu

Sometimes huwa nacheka ili tu nifiche yanayonisibu

But only God knows what I’m going thru

Drinking everyday, hoping i will die sober

Iwe normal tu kusema sitaki

Binafsi wanangu ntawakumbusha kila asubuhi

Wasitumie pesa kutafuta vitu ambavyo pesa hainunui

Winning everything i win i win i win

Win i win i win i win win i win

I win i win i win i win i win i win i win

Watch Video

About Don't Play This Song

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : May 01 , 2025

More RAPCHA Lyrics

RAPCHA
RAPCHA
RAPCHA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl