Magufuli Umetuacha Imara Lyrics
Magufuli Umetuacha Imara Lyrics by PETER MSECHU
Umetuacha imara, Tanzania salama
Magufuli lala salama mwendo umeumaliza
Umetuacha imara, Tanzania salama
Magufuli lala salama Mungu akulaze pema peponi
Nguzo yetu imara imenguka inauma
Shujaa wetu shupavu ona amelala ah
Amefanya makubwa ya kuigwa ya mfano
Magu tunakulilia twatamani urudi kidogo
Mungu kwa nini umeruhusu
Mwamba wetu aende
Tumebaki na ukiwa
Nafsi zimejawa kiza
Magufuli lala salama
Tutaonana baadaye
Sote njia yetu moja
Tangulia twaja
Umetuacha imara, Tanzania salama
Magufuli lala salama mwendo umeumaliza
Umetuacha imara, Tanzania salama
Magufuli lala salama Mungu akulaze pema peponi
Umetuacha salama pengo halizimiki
Magu lala baba baba, Magu lala bababa
Tutakukumbuka kwa mengi uliyoyafanya baba
Tumebaki wakiwa ila
Umetuacha imara, Tanzania salama
Magufuli lala salama mwendo umeumaliza
Umetuacha imara, Tanzania salama
Magufuli lala salama Mungu akulaze pema peponi
Baba baba nenda
Baba baba nenda
Baba baba nenda
Watch Video
About Magufuli Umetuacha Imara
More PETER MSECHU Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl