PETER MSECHU Hodari Samia  cover image

Hodari Samia Lyrics

Hodari Samia Lyrics by PETER MSECHU


Kazi inaendelea, makasi ile ile
Sifa yake mpole mnyenyekevu
Mchapa kazi hodari
Aha mwana mama shupavu 
Mwenye upendo Samia komando

Amepokea kijiti shaka hatuna
Tanzania mpya yaja
Amenia kutuvusha tufike kule
Tunakopatazamia

Kazi inaendelea, kuujenga uchumi wa Tanzania
Makasi ile ile, awamu ya sita hatulali hatupoi
Kazi inaendelea, Mama Samia dereva twakuaminia 
Makasi ile ile, Tanzania tuchape kazi

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Yuko hodari imara

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Mwenye hekima na busara

Amesema zege halilali
Tuamke tuchape kazi tujenge nchi
Malkia wangu nguvu, Samia
Superwoman, mwanamke jasiri
Anatuhimiza upendo mshikamano, uwajibikaji

Hime waTanzania tuzidishe uzalendo
Tudumishe amani hio ndio nguzo yetu
Serikali ya awamu ya sita imejipanga dhabiti
Kulete maendeleo Tanzania isonge mbele, mbele kwa kasi

Kazi inaendelea, kuujenga uchumi wa Tanzania
Makasi ile ile, awamu ya sita hatulali hatupoi
Kazi inaendelea, Mama Samia dereva twakuaminia 
Makasi ile ile, Tanzania tuchape kazi

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Yuko hodari imara

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Mwenye hekima na busara

Suluhu, mpango kanyaga twende
Suluhu, mpango kanyaga twende
Suluhu, mpango kanyaga twende
Suluhu, mpango kanyaga twende

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Yuko hodari imara

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Mwenye hekima na busara

Watch Video

About Hodari Samia

Album : Hodari Samia (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 06 , 2021

More PETER MSECHU Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl