NAIBOI Makasiriko cover image

Makasiriko Lyrics

Makasiriko Lyrics by NAIBOI


Usibishane na babu wewe
Aaah
Uuh yeah
Ilogos music yeaah
Nai Nai
Kwani bosss

Hii mwaka haitaki makasiriko
A basi punguza alarm
Hii mwaka haitaki makasiriko
Sielewi mbona una jam

Hii mwaka haitaki makasiriko 
Aya pewa kwa bill yangu
Hii mwaka haitaki makasiriko 
Nausi tangazie watu
Kuna sampuli flani ya watu boom
Wanakuaga na roho chafu yeah

A Wanajifanya mbele ya watu
Eti marafiki kumbe ndani nima chatu
A basi punguza feeling
Vitu zingine hazinaga meaning
Ya mvua unajua dalili
A Nishaona mbele niko gangari
Gangari eh

Back stabber dem a back stabber
Wanakukulia bila kutumia rubber  (mafala)
Itabidi leo tuwatoke ki design
Fitina fitina na resign 

Nai Nai 

Hii mwaka haitaki makasiriko
A basi punguza alarm
Hii mwaka haitaki makasiriko
Sielewi mbona una jam

Hii mwaka haitaki makasiriko 
Aya pewa kwa bill yangu
Hii mwaka haitaki makasiriko 
Nausi tangazie watu

Hii mwaka si bishana mara mbili
Vitu zingine uchokesha akili
Hii mwaka nimechorea ma pressure 
Hii mwaka ni ya ku sakanya pesa

Kwenye radio zidi kunisema
Side yangu ni volume na ongeza
Ye na tutazidi kuwa tesa
A Naiboi worldwide tingisha meza 

Hii mwaka haitaki makasiriko
A basi punguza alarm
Hii mwaka haitaki makasiriko
Sielewi mbona una jam

Hii mwaka haitaki makasiriko 
Basi pewa kwa bill yangu
Hii mwaka haitaki makasiriko 
Nausi tangazie watu

Aaah
Uuh yeah
Ilogos music yeaah
Nai Nai

Kwani bosss

Watch Video

About Makasiriko

Album : Makasiriko (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Naiboi Worldwide.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 15 , 2020

More NAIBOI Lyrics

NAIBOI
NAIBOI
NAIBOI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl