Unstoppable Lyrics by MUM CHEROP


I am unstoppable ooh
I am invincible ooh
I am unstoppable ooh
I am invincible ooh

I am unstoppable ooh
I am invincible ooh
Maono yangu hamtayazika
Baraka zangu hamtazuia
I am unstoppable ooh

Alichoanzisha Bwana atatimiza
Baraka zake kamwe hazina huzuni
Anamuinua mnyonge kutoka mavumbini
Kuumketisha pamoja na wafalme

Maono yako hayatazuiliwa
Hatima yako imehakikishwa
Na kama tai utapaa juu

Baraka yangu ahadi yangu
Agano langu eh Mungu wangu
Agano langu lazima litimie
Alianzisha kazi njema ndani yangu
Yeye Bwana ataitimiza

Kama Daudi aliahidiwa
Siku moja atakuwa mfalme
Pamoja na shida alizozipata kwa sauli
Lakini siku moja alikuwa mfalme
Yusufu naye utumwani Misri
Haya siku moja akawa waziri
Ahadi ya mungu lazima itimie

I am unstoppable ooh
I am invincible ooh
Maono yangu, hamtayazika
Baraka zangu, hamtazuia
I am unstoppable ooh

No one shuts the door 
That God has opened
No one shuts the door 
That God has opened

My vision is well defined
My vision is well defined
I won’t yield to intimidation nor panic
No one pinned me down

Ingawa Leo naishi maisha ya chini
Ingawa leo napewa majina mabaya
Agano la Mungu, lazima litimie
Ahadi ya yahweh, lazima litimie

I am unstoppable ooooh
I am invincible ooooh
Maono yangu, hamtayazika
Baraka zangu, hamtazuia

I am unstoppable ooh
I am invincible ooh
Maono yangu, hamtayazika
Baraka zangu, hamtazuia
I am unstoppable ooh

Watch Video

About Unstoppable

Album : Unstoppable (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 23 , 2020

More MUM CHEROP Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl