MOCCO GENIUS Napendwa  cover image

Napendwa Lyrics

Napendwa Lyrics by MOCCO GENIUS


Mocco

Nakupa salam pole ex
Mi kwanza sasa hivi na nenepa
Niliyenaye kanitowa stress
Nimesahau michoko ya nyuma nilipo toka
Hivi bado anakupost bwana wako anakupost?
Walio nachamba wale mashoga zako ivi wapo wale mashost
Namba zako nilikwisha futa
Nimezitafuta tunikupe taharifa
Nimenpata amenpa hodari mwenye kila sifa
Juzi nimeona umeposti picha insta umezidi kongoroka
Mifupa ilivyo kutoka utadhani umetapikwa na nyoka
Umekonde ana
Poleee, pole sana
Vipi danga lako la masaki mmesha achana
Sisi tumependezana
Tume pendezana
Ropa ya mapenzi alionikaba imesha nibana
Yani rahaaaaa

Napendwa napendwa
Napendwa napendwa
Napendwa napendwa aaah
Ilichaka sing’okii
Napendwa napendwa
Napendwa napendwa
Napendwa napendwa
Nimesha tulizana

Unakazi yakushindia vijora
Cream imekualibu sura
We nabwana wako mmekutana wote amna hela
Serikari imekwisha isha sera
Kumbe chakula cha masela
Mimi huku mwenzako
Penzi limechanganya mpera mpera ooh
Nilifosi maji kupanda mrima
Napambana kuwasha kumbe unazima
Nikaugua balidi nakutetema yani matesoo
Ukawa unalinga kama umepima aah
Napole dada sasa umechina
Nimempata fundi Ronaldo derima mineso
Nilijua tu tusingefina mbali wewe na mimi
Uapenda makuu ndio maana hukujali
Kidogo cha mimi
Umekonde ana
Poleee, pole sana
Vipi danga lako la masaki mmesha achana
Sisi tumependezana
Tume pendezana
Ropa ya mapenzi alionikaba imesha nibana
Yani rahaaaaa

Napendwa napendwa
Napendwa napendwa
Napendwa napendwa aaah
Ilichaka sing’okii
Napendwa napendwa
Napendwa napendwa
Napendwa napendwa
Ooh mama aaaaaaahhhh

Watch Video

About Napendwa

Album : Napendwa (Single)
Release Year : 2022
Copyright : ©2022 Imagination Sound.All rights reserved.
Added By : Farida
Published : Jul 05 , 2022

More MOCCO GENIUS Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl