
Fitingi Lyrics
...
Fitingi Lyrics by MOCCO GENIUS
Mouja
Iiiihh
Huyu fundi abbah
Kutoka aloo
You know the sound
Sound by abbah
Mi na wewe hatutafuti ukamilifu
Mi na we hatupimani madhaifu oouh yee
Mahaba ya kila aina nakupa, siwezi kunyima
Shahada ya kupendana, nakupa
Penzi nitalilinda
Kwa marungu
Kwa mapanga
Kwa huu wivu
Nitawanga
Ooh baby, am fitingi (Am fitingi, fitingi)
Baby baby, we're machingi (Machingi, machingi)
Baby, we're fitingi (Fitingi, fitingi)
Mimi nawe tume machi (Machingi, machingi)
Tume machi mchi
Aaaah Moujaa
Aalloooh
Tukizeeka ukang'oka meno, nitakutafunia mimi
Nitakupenda mpaka mwisho wa hii dunia baby
Huba kama unalijaza katika gunia baby
Vitu naturally napata mia kwa mia mimi oow woo
Sihofii kuonekana fala
Sihofii kuonekana zoba zoba
Sihofii kuonekana mjinga
Penzi nitalilinda
Kwa marungu
Kwa mapanga
Kwa huu wivu
Nitawanga
Ooh baby, am fitingi (Am fitingi, fitingi)
Baby baby, we're machingi (Machingi, machingi)
You and I we're fitingi (Fitingi, fitingi)
Tumemachi (Machingi, machingi)
We're fitingi
Watch Video
About Fitingi
More MOCCO GENIUS Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl