Mua Lyrics by MIMI MARS


Nikiwa mbali na uwepo wa macho yako
Mimi mgonjwa siwezi pona
Nitatulia nikikuona aah...aaah

Niwapo ubavuni mwako
Nadeka kama mtoto akiwa kwa mama
Nimetulia nikikuona aaah...aaah

Tabia umenibadilisha
Pozi zote kwisha
Ujeuri ndio kabisa
Nimechange...ii

Nahofia ukija nichoresha
Machozi sipati picha
Safari ukaikatisha
Huku sijiwezi

Najiona hodari
Juu ya penzi lako
Sina habari
Juu ya penzi lako

Nimeonja asali
Juu ya penzi lako
Najiona mbali

Najiona hodari
Juu ya penzi lako
Sina habari
Juu ya penzi lako

Nimeonja asali
Juu ya penzi lako
Najiona mbali

Mtamu kama mua, mua, mua, mua
Game lako murua, murua, murua, murua
Mtamu kama mua, mua, mua, mua
Game lako murua, murua, murua, murua

Unavyonikanda na kunitua
We nigangue nikiugua
Unanifanya najishebedua
Ayee..

Puliza marashi wapi mafua
Wanaopenda kudadavua
Sie tunapika na kupakua
Ayee..ayee

Hatuna kelele
Tunaendana, endana
Mpaka milele eeh 
Tutazikana

Najiona hodari
Juu ya penzi lako
Sina habari
Juu ya penzi lako

Nimeonja asali
Juu ya penzi lako
Najiona mbali

Mtamu kama mua, mua, mua, mua
Game lako murua, murua, murua, murua
Mtamu kama mua, mua, mua, mua
Game lako murua, murua, murua, murua

Kama mua, mua, mua, mua
Game lako murua, murua, murua, murua

 

Watch Video

About Mua

Album : Mua (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 15 , 2019

More MIMI MARS Lyrics

MIMI MARS
MIMI MARS
Ex
MIMI MARS
MIMI MARS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl