Wah Wah Lyrics by MBUZI GANG


Umesota aje, aje na kichwa ina mashilingi
Ka ni mboga aje aje, kuna form si umtaje taje
Ka ni verse unikanje we ni cross wa mwenda zake zake
Utatoa hadi mshande kwa mbosho before nikushanda afande

Mbuzi ndio rende, mziki ndo mboka lazima ni henge
Niko na pembe ju maungo si beef kisenge
Marapper ni wengi walevi bars kushare ni lazima ni common

Ukifinya hivi beat ni hormones
Niko straight lakini ni kombo
Wafuasi wa mbuzi kwa kondoo
Uko high hukubaki kwa condom

Flow illegal nishalipa hongo
Napika nachemsha bongo
Mara dat usharudi kwa udongo
Naeza beba game yote kwa gongo
Hosi si Kairo ni doki
Nina shit huwezi jaza kwa poti

Kiatu toja chupa si tunawaka waka 
Gode ikipitishwa si tunawasha washa
Ati mnatubonga kwetu ni no wahalla
Sa ni usiku usiku shawty anataka dawa yeah

Wah wah wah wah, 
Muite Adamu napendaga Hawa wa wa wa
Manzi ni wako lakini anagawa wa wa
Haga ni pillow naskia kulala lala 

Wah wah wah wah, 
Muite Adamu napendaga Hawa wa wa wa
Manzi ni wako lakini anagawa wa wa
Haga ni pillow naskia kulala lala 

Wanataka hio rating siwapi 10
Ni the GOAT na Mbuzi gang
Jeep ya wathii na bado ni Gucci man
Vile -- nikishika pen

Geri ya mafiat magwangi
Kwa mkono matax za rangi
Na nimejitape niki elevate
Wao huniita mahatma bangi

Last year walisema next year huyu kijana hawezi top hizi charts
This year wanafurahi kuniskia
Wanachunisha kwa TV na mamat
Ka ni rap cheki CV na cert
Pull up in the place nimekuja na Passat
Furthermore pia tuna iPhoolish
You never seen a nigga clever like that

Kiatu toja chupa si tunawaka waka 
Gode ikipitishwa si tunawasha washa
Ati mnatubonga kwetu ni no wahalla
Sa ni usiku usiku shawty anataka dawa ayella

Wah wah wah wah
Muite Adamu napendaga Hawa wa wa wa (Wah)
Manzi ni wako lakini anagawa wa wa (Wah)
Haga ni pillow naskia kulala lala  (Wah)

Wah wah wah wah
Muite Adamu napendaga Hawa wa wa wa (Wah)
Manzi ni wako lakini anagawa wa wa (Wah)
Haga ni pillow naskia kulala lala  (Wah)

Wawawa wawa I was looking at Zazazaza
I was looking around...
Am in a cop with my girl Channel
But am looking at Prada da da 
Beside the bitches can't compare
Coz am like no dah dah
Ey cheki cheki cheki
I'm in the game na sichezi
It's cliche when i hop like semi
I be -- fckn low like dredi
Sisemi sisemi who is the best she tell me what
Head on my town like what 
Checking ....

Kiatu toja chupa si tunawaka waka 
Gode ikipitishwa si tunawasha washa
Ati mnatubonga kwetu ni no wahalla
Sa ni usiku usiku shawty anataka dawa yeah

Wah wah wah wah, 
Muite Adamu napendaga Hawa wa wa wa
Manzi ni wako lakini anagawa wa wa
Haga ni pillow naskia kulala lala 

Wah wah wah wah, yeah
Muite Adamu napendaga Hawa wa wa wa (Wah)
Manzi ni wako lakini anagawa wa wa (Wah)
Haga ni pillow naskia kulala lala  (Wah)

Wah wah wah wah, yeah
Muite Adamu napendaga Hawa wa wa wa (Wah)
Manzi ni wako lakini anagawa wa wa (Wah)
Haga ni pillow naskia kulala lala  (Wah)

Ah Mbuzi ndio rende
I got balls mskende
Ambia ule Dj ka si hasira za panda ye si mgenge
Genje ni mbaya chini ya maji cheki venye nasend waves
Wash wash ishushe  ego ndwanzi ah ofcourse not

Please note ukija hizi sides 
Ma area door please knock 
Kwa pori ni mbuzi, pori we nyani
Nyongwa bitch come slow
Ndani ya Mpasho ka ni ketepa nimekuja na satchet

Na ni urgent nimekuja na news moto unataka nipashe
Show ya sare sare unless kipara itapigwa 
kibare
Ukiwasha nare unaeza potea ka account ya Obare
Ngeus ni mare niko na nare imebaki nipate mamali
Washa kikangale umesota aje na opp ni male

Kiatu toja chupa si tunawaka waka 
Gode ikipitishwa si tunawasha washa
Ati mnatubonga kwetu ni no wahalla
Sa ni usiku usiku shawty anataka dawa yeah

Wah wah wah wah
Muite Adamu napendaga Hawa wa wa wa (Wah)
Manzi ni wako lakini anagawa wa wa (Wah)
Haga ni pillow naskia kulala lala  (Wah)

Wah wah wah wah
Muite Adamu napendaga Hawa wa wa wa (Wah)
Manzi ni wako lakini anagawa wa wa (Wah)
Haga ni pillow naskia kulala lala  (Wah)

Watch Video

About Wah Wah

Album : Three Wise Goats (Album)
Release Year : 2022
Copyright : (c) 2022 Black Market Records.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 24 , 2022

More lyrics from Three Wise Goats album

More MBUZI GANG Lyrics

MBUZI GANG
MBUZI GANG
MBUZI GANG
MBUZI GANG

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl