MAVOKALI Yakowapi cover image

Yakowapi Lyrics

Yakowapi Lyrics by MAVOKALI


Ah! Eti nikuite hodari
Ukileta kipepeo nikupepee
Stimu zinawaza kwenda mbali
Nami nikate koba nitembee

Maisha yangu sadari
Kutwa kukimbizana na wazee
Sometimes kabari gizani

Ona maisha ya ku act yana cost
Ah, ninakuchana sijivungi maah 
Unataka B-day nikusposti
Naacha tochi nyuma, akifungi mama

Kula kwangu moja ngoma 
Nitaanzaje ku believe
Maisha ya mdomo mbele kushona
Kifuani maumivu

Yako wapi iii (Mmmh)
Uko wapi iii(Aaah)
Yako wapi iii (Mmmh)
Uko wapi iii(Aaah)

Umechagua kunipenda sikatai
Ila kama una presha kaa mbali
Ukinikuta maeneo sifai
Nishavesha misunjo mikali

Morali kama yero subai
Ng'ombe ukijileta nachepa makali
Unataka mi ninyonge tai
Yasije kuwa ya Mondi na Zari

Ona maisha ya ku act yana cost
Ah, ninakuchana sijivungi maah 
Unataka B-day nikusposti
Naacha tochi nyuma, akifungi mama

Kula kwangu moja ngoma 
Nitaanzaje ku believe
Maisha ya mdomo mbele kushona
Kifuani maumivu

Yako wapi iii (Mmmh)
Uko wapi iii(Aaah)
Yako wapi iii (Mmmh)
Uko wapi iii(Aaah)

Ukiamua kubaki na mimi(Haya sawa)
Ukiamua kwenda mbali(Mimi nita retire)
Ukiamua kubaki na mimi(Sawa haya)
Ukiamua kwenda mbali(Kwenda mbali na yeye)

Mi nitaretire, ona nitaretire...

Watch Video

About Yakowapi

Album : Yakowapi (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 21 , 2020

More MAVOKALI Lyrics

MAVOKALI
MAVOKALI
MAVOKALI
MAVOKALI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl