MAVOKALI Bado Nampenda cover image

Bado Nampenda Lyrics

Tanzanian, Bongo flava artist Mavokali releases his second single "Bado Nampenda" since...

Bado Nampenda Lyrics by MAVOKALI


Moyo wangu umepoteza furaha
Amani sina tena (Sina tena)
Masikini penzi langu
Kazima nyota ya jaa 
Kanimwaga kanitema

Naishi kwa kutapa tapa, anajifanya haoni 
Chanzo yeye ananizingua
Nakaribia kudata yamenifika shingoni
Narudi japo nipo niugua

Au tatizo mi sina
Yaani mi sina (Haya sawa)
Kachotaka nini nina 
Nimechacha nimechina (Haya sawa)

Ukimwona mwambieni
Bado nampenda, Bado nampenda
Bado nampenda, Bado nampenda

Ah, nilijifanya maharufu
Penzi sherehe kwa madufu
Ona kakivunja kibubu 
Ah mi nateketea

Sauti yake ya kasuku
Yaani gear huku na huku
Nikizivuta kumbu kumbu
Ah zinanivutia

Nalikumbuka tu jina 
Ameumiza mtima
Akilingoa na shina
Oooh jamani

Naishi kwa kutapa tapa, anajifanya haoni 
Chanzo yeye ananizingua
Nakaribia kudata yamenifika shingoni
Narudi japo nipo niugua

Au tatizo mi sina
Yaani mi sina (Haya sawa)
Kachotaka nini nina 
Nimechacha nimechina (Haya sawa)

Ukimwona mwambieni
Bado nampenda, Bado nampenda
Bado nampenda, Bado nampenda

Mwambieni, mwambieni
Nyie mwambieni
Nampenda sana

Watch Video

About Bado Nampenda

Album : Bado Nampenda (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 01 , 2020

More MAVOKALI Lyrics

MAVOKALI
MAVOKALI
MAVOKALI
MAVOKALI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl