MAUA SAMA Nimeridhia cover image

Nimeridhia Lyrics

Nimeridhia Lyrics by MAUA SAMA


Kwa goti aliingia
Nakutaka nimsamehe
Kumbe ananichora
Mapenzi yalinijia
Kwenye moyo shurba tele
Ya-radhi akanijia
Kidudu mtu shetani akayavuruga
Akaingia mashakani tukashindwana
Kidudu mtu shetani akayavuruga
Akaingia mashakani tukakwazana
Nimeamini kwenye moyo huwezi penda mara mbili
Penzi ukalitia kasoro maskini mimi
Moyo wangu sio godoro, uwe juu me niwe chini
Si kisoda kwa kokoro, nimeshindwa mimi yeah

Aaah haya nimeridhia (sawa)
Siwezi ng’ang’ania (sawa)
Aah haya nimeridhia (sawa)
Nimeshindwa mimi
Aaah haya nimeridhia (sawa)
Siwezi ng’ang’ania (sawa)
Aah haya nimeridhia (sawa)
Nimeshindwa mimi

Kweli sio siri, ilizingwa mapema
Tamu yako ya asili, ila ndani yachoma
Kheri kuwa dhahiri, maumivu kusema
Mlaghai kwa hili, nafsi yangu imenena
Nashukuru kwa kidogo, ulichonipa nimepokea
Nitabaki kwa mikogo, huyo mwengine kumngojea
Nimeamini kwenye moyo huwezi penda mara mbili
Penzi ukalitia kasoro maskini mimi
Moyo wangu sio godoro, uwe juu me niwe chini
Si kisoda kwa kokoro, nimeshindwa mimi yeah

Aaah haya nimeridhia (sawa)
Siwezi ng’ang’ania (sawa)
Aah haya nimeridhia (sawa)
Nimeshindwa mimi
Aaah haya nimeridhia (sawa)
Siwezi ng’ang’ania (sawa)
Aah haya nimeridhia (sawa)
Nimeshindwa mimi

Watch Video

About Nimeridhia

Album : Cinema (Album)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : May 20 , 2022

More MAUA SAMA Lyrics

MAUA SAMA
MAUA SAMA
MAUA SAMA
MAUA SAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl