...

Miayo Lyrics by MAUA SAMA


Ukweli ukiniacha mi nita umiaa

Maana moyoni nimeshakupendaa

Naomba univumilie mchumbaa

Leo tumekosa kesho tutapataa

Piga miayo mwanangu kama una njaa aah

Piga miayo baharia kama una njaa aah

Piga miayo mwanangu kama una njaa aah

Piga miayo baharia kama una njaa aah

Sama

Mwenzako nina joto naskia raha ka nirudi utoto

So baby give it to me ya moto

Ona sa unafanya naongea kingereza

Mara this mara that yani kingereza mara this mara that

Ukweli ukiniacha mi nitaumiaa

Maana moyoni nimeshakupendaa

Nakuomba univumilie mchumbaa

Leo tumekosa kesho tutapataa

Piga miayo mwanangu kama una njaa aah

Piga miayo baharia kama una njaa aah

Piga miayo mwanangu kama una njaa aah

Piga miayo baharia kama una njaa aah

Dada njoo dada njoo njoo njoo

Oya wee me na na na na nakupenda wewe

Ukija ku ku ku ku ku kuniacha mimi

Nita ta ta ta ta ta ta nitateseka

Naomba uni ni ni ni ni nikubalie

Mwenzako naumi mi mi mwenzako naumi mi mi

Mwenzako naumi mi mi mwenzako naumi mi mi

Ha ha ha haiya ni nimekuku ku ku ku ku kubalia

Kwa kwanzia le le leo ni ni wa wapenzi

Ah wachina ni wengi tunawajua

Ila mweusi ni mmoja chini ya jua

Hata maki ni wengi ila mwisha mmoja

Meneja Krisi nisalimie Tayo we sonko Tachi

Watoto hamweza bondeni

Gwiji Mwana FA heshima yako

We Umbwa Mwitu OG

Triple 9 baba

Yusufu Ngage

Usiniletee ua sama nikona Maua Sama humu

Watch Video

About Miayo

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : ©?2025 Sama Music.All Rights Reserved.
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 13 , 2025

More MAUA SAMA Lyrics

MAUA SAMA
MAUA SAMA
MAUA SAMA
MAUA SAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl