Cheki juu Lyrics by MASTERPIECE KING


Wanadai kunitoka toka
Lakini mi nacheki juu
Nawaskia wakibonga bonga
Lakini mi nacheki juu

Ah buda cheki juu
Oya cheki juu
Ah buda cheki juu
Oya cheki juu

Naskia wameniblock sawa
Wananibonga sawa
Wamenitoka sawa
Mi niko na buda sawa

If God is for me
Mi niko sawa nani
If God is for me
Mi niko sawa nani

Bring mpaka beiby
Mi nacheki juu anibebe
Bring mpaka beiby
Mi nacheki juu sina debe

Wanadai kunitoka toka
Lakini mi nacheki juu
Nawaskia wakibonga bonga
Lakini mi nacheki juu

Ah buda cheki juu
Oya cheki juu
Ah buda cheki juu
Oya cheki juu

Nacheki juu
Sheito akileta umama 
Anabebwa juu juu

Nacheki juu
Sheito akileta umama 
Anabebwa juu juu

Prokoto ameniweka high 
Si msokoto
Ki prokoto
Nipate kanisani si kwa soko jo

Bring mpaka beiby
Mi nacheki juu anibebe
Bring mpaka beiby
Mi nacheki juu sina debe

Wanadai kunitoka toka
Lakini mi nacheki juu
Nawaskia wakibonga bonga
Lakini mi nacheki juu

Ah buda cheki juu
Oya cheki juu
Ah buda cheki juu
Oya cheki juu

So kila mtu(Cheki juu)
Ata ka we ni nani nani(Cheki juu)
So kila mtu(Cheki juu)
Unataka nini(Cheki juu)

So kila mtu(Cheki juu)
Ata ka we ni nani nani(Cheki juu)
So kila mtu(Cheki juu)
Unataka nini(Cheki juu)

Wanadai kunitoka toka
Lakini mi nacheki juu
Nawaskia wakibonga bonga
Lakini mi nacheki juu

Ah buda cheki juu
Oya cheki juu
Ah buda cheki juu
Oya cheki juu

Watch Video

About Cheki juu

Album : Cheki Juu (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 29 , 2019

More MASTERPIECE KING Lyrics

MASTERPIECE KING
MASTERPIECE KING
MASTERPIECE KING
MASTERPIECE KING

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl