Aku Lyrics by MARISSA


Vipi nitaziba pancha
Maana moyo ushatoboka
Kisimani bila ngaka
Mbebaji nikachoka

Nahisi uchuro ama mizimu
Nimepinga dua zangu
Mizani pima kilo
Na ni doctor wa kutibu maradhi yangu

Basi moyo tulia kinywa kikose maneno
Mengi nishayafumbia japo sheria msumeno
Basi moyo tulia kinywa kikose maneno
Mengi nishayafumbia japo sheria msumeno

Aku sitaki tena
Aku kuugua maradhi na tiba hakuna
Aku sitaki tena
Aku kuugua maradhi na tiba hakunaga

Uwezo wangu wa taratatili mapungufu ya nyota
Kichwa mawazo maradhi ya mwili dah yaani nachoka
Kanitia doa kwenye ndoano kanivua vua
Najishongondoa kwenye mabano naungua jua
Ndege kisirisiri nimenaswa kisa mpunga
Japo nisaidie penzi langu nyota ya ponda

Basi moyo tulia kinywa kikose maneno
Mengi nishayafumbia japo sheria msumeno
Basi moyo tulia kinywa kikose maneno
Mengi nishayafumbia japo sheria msumeno

Aku sitaki tena
Aku kuugua maradhi na tiba hakuna
Aku sitaki tena
Aku kuugua maradhi na tiba hakunaga

Tiba hakunaga
Kibaku baku, nachafukwa na nyongo
Kibaku baku, mwili umekufa nganzi
Kibaku baku, nitavumilia japo kishingu upande

Kibaku baku, nachafukwa na nyongo
Kibaku baku, japo kishingu upande
Kibaku baku, nitavumilia na nitazoea

Watch Video

About Aku

Album : Aku (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 17 , 2021

More MARISSA Lyrics

MARISSA
MARISSA
MARISSA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl