Sorry Lyrics by M NEX NEX I


M Nex

Ulikuwa ni mpenzi wangu
Na Moyo wako haukuwa mbali na mi
Nilidhani utakuwa wangu
Na ndoto zangu zinafeli yani siamini
Hata uki-post, naona unanisema Mimi, naishi kwa kujishuku
Na wala sio mbali, ni juzi tu, ulikuwa Na mi
Tulipiga picha wewe na mi, Penzi Likashamili
Na kila kukicha wewe na mi, walituona wawili

Oh baby! Sorry! , Sorry! Sorry
Oh now I'm worrying, worrying ,worrying
Oh baby Sorry, Sorry, Sorry
Oh now I'm worrying, Worrying, Worrying

Namiss zile snap chat ulinitumia
Video call night ulinipigia
Namiss tabasamu lako , sio utani naumia mwenzako
Na utakua unafeli kama ukinichunia
SMS haujibu ata nikikutumia
So Fanya tuyajenge mana nimekosea
I promise, siwezi kurudia
Tulipiga picha wewe na mi, Penzi Likashamili
Na kila kukicha wewe na mi, walituona wawili

Oh baby! Sorry! , Sorry! Sorry
Oh now I'm worrying, worrying ,worrying
Oh baby Sorry, Sorry, Sorry
Oh now I'm worrying, Worrying, Worrying

It's a trap house records

Watch Video

About Sorry

Album : Sorry (Single)
Release Year : 2022
Added By : M Nex Nex I
Published : Jul 02 , 2022

More M NEX NEX I Lyrics

M NEX NEX I
M NEX NEX I
M NEX NEX I
M NEX NEX I

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl