LETEIPA THE KING Ndoto ya Mchana cover image

Ndoto ya Mchana Lyrics

Ndoto ya Mchana Lyrics by LETEIPA THE KING


[VERSE 1]
Niliskia tufununu
Kwamba Ulipata Mwingine
Anayekupenda zaidi ya mimi
Mtafunga ndoa pengine
Yetu Ilikuwa shadow
Mapenzi yenu yamekolea
Lazima huwa anakupa
Vitu sikuwa nakupea

Ndoto zako zote
Ulizo niambia,
Naona kama kweli sasa zinatimia
Na sina chochote
Cha kukuambia
ila nakonda kweli nikikufikiria

[HOOK]
Sura yako umbo lako jamani Eeeh
Busu na mahaba chumbani maaami
Mawaidha yako nikiwa matatani Eeeh
Nikikumbuka najiona hayawani maaami

[CHORUS]
Nawatakia memaa (nawatakia memaa)
Nawatakia memaa (nawatakia memaa )
Nawatakia memaa (nawatakia memaa )
Basi kwaheri, kwaheri, kwaheri
Kwaheri mama ( Ndoto yangu ya mchana)

[VERSE 2]
Ingawa inaniumaa
Niko na furaha moyoni
Kuona kwamba umepata
Vyote ulivyokuwa unatamani
Naomba nipate mwaliko
Wa harusi nije nile wali
Tupige picha na wadau
Nikupe Zawadi kama zamani
Alafu ntapeform
Kama behste yako
Kale kawimbo nilikuimbia shambani
Na nitakuinform
Tunza mume wako
Japo kuna vitu zenye ninatamani..

[HOOK]    
Sura yako umbo lako jamani Eeeh
Busu na mahaba chumbani maaami
Mawaidha yako nikiwa matatani Eeeh
Nikikumbuka najiona hayawani maaami

Ingawa ningependa ungekuwa wangu pekeee (nawatakia memaa )
Ingawa moyoni umeniachia kidonda (nawatakia memaa )
Namwomba mungu
Anipatie Mwingine kama wewe (nawatakia memaa )
Hivo kwaheri, kwaheri, kwaheri
Kwaheri mama (Ndoto yangu ya mchana)
Lakini ninaomba unifanyie favour moja (nawatakia memaa )
Ukijifungua kama ni wa kiume
Mpe  jina langu (nawatakia memaa )
Na kama ni wa kike
Mpe jina la mama yangu (nawatakia memaa )
Hivo kwaheriiiiiiiiii (Ndoto yangu mchana)

 

Watch Video

About Ndoto ya Mchana

Album : Ndoto ya Mchana (Single)
Release Year : 2017
Added By : Kelvin Leteipa
Published : Nov 14 , 2018

More LETEIPA THE KING Lyrics

LETEIPA THE KING
LETEIPA THE KING
LETEIPA THE KING
LETEIPA THE KING

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl