
Nilikudanganya Lyrics
Nilikudanganya Lyrics by KUSAH
Mhmmmm
Nisameheeeee
Nilikudanganya
Nilikutumia vikopa kusema nakupenda siyooo
Eti rashidi kapiga saa sita usiku siyooo
Eti chode kazidiwa leo nalala kwake
Maaana yuko peke yake
Mhhmmmm
Nilikudanganya danganya
Juzi nimetoka kukutenda
Nikakupost kwanba nakupenda
Nikazidisha penzi na madenda siyooo
Nakumbuka ulinifumania
Nikakataa nikakubishia
Nikalia nilikuidizia ni uongoo uwoo
Nataka sa hivi niache upaka
Nataka sasa hivi niweke mipaka
Nataka sasa hivi nitulieeeee
Na wewe
Watch Video
About Nilikudanganya
More KUSAH Lyrics
Comments ( 1 )

Nimependa hii
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl