Pokea Sifa (Uhimidiwe) Lyrics
Pokea Sifa (Uhimidiwe) Lyrics by KIDUM
Oh oh oh, ah ah ah
Oh oh oh, ah ah ah
Nimekuja hapa mbele zako bwana
Kukupee sifa
Ninajua kwamba niko mwenye dhambi
Naomba unisamehe
Utukufu wako hauna kifani
Huruma na upendo wako kwa walimwengu
Hulinganishwi na chochote
Baba wetu
Unapea mvua, wabaya na wazuri
Na mwangaza wa jua kwa wabaya na wazuri
Hubagui baba
Baba Baba pokea sifa, uhimidiwe
Baba Baba pokea sifa, uabudiwe
Watu wengi duniani wamekata tamaa
Wanadhani wakija kwako utawafukuza
Wanasema wewe ni Mungu wa walio wema tu
Wanasema wewe ni Mungu wa matajiri tu
Wanasema wewe ni Mungu wa mataifa yenye nguvu
Lakini
Kumbe wamekosa mwenye kuwapa ukweli
Kumbe hawajui wewe ni mwenye huruma
Kumbe wamekosa mwenye kuwapa ukweli
Kumbe hawajui wewe ni mwenye huruma
Niko hapa kutoa ushuhuda
Na kukupa sifa zako baba
Baba Baba pokea sifa, uhimidiwe
Baba Baba pokea sifa, uabudiwe
Baba Baba pokea sifa, uhimidiwe
Baba Baba pokea sifa, uabudiwe
Kumbe wamekosa mwenye kuwapa ukweli
Kumbe hawajui wewe ni mwenye huruma
Kumbe wamekosa mwenye kuwapa ukweli
Kumbe hawajui wewe ni mwenye huruma
Baba Baba pokea sifa, uhimidiwe
Baba Baba pokea sifa, uabudiwe
Baba Baba pokea sifa, uhimidiwe
Baba Baba pokea sifa, uabudiwe
Watch Video
About Pokea Sifa (Uhimidiwe)
More KIDUM Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl