KIDUM Hayafai cover image

Hayafai Lyrics

"Hayafai" is a song by Burundian singer Kidum released on June 16, 2020. The song was p...

Hayafai Lyrics by KIDUM


Unataka nijiue
Hutosheki na pendo langu
Mawinbo nimeimba, maua nikaleta
Ili tu nione tabasamu lako
Milima na mabonde, kunyeshewa na mvua
Ili tu nioneshe upendo wangu kwako
Inashangaza , Unae mpenda huwa hakupendi
Inaumiza, kuona kwamba hizi siku zote hujatambua
Kuhusu upendo wangu kwako
Unaniringia, huchukui simu zangu
Kila saa nikuninunia
Natamani kuskia kutoka kwako

Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Haya haya haya haya hayafai
Haya haya haya haya hayafai

Unataka kuniona tu nikiwa nimechizi
Si kitu mzuri si ustaarabu
Mapenzi isiwe chanzo chakuniweka mimi kwa magoti
Rekebisha
Nitatuma ujumbe mfupi kwa simu kama Leo alafu unajibu
Baada ya siku mbili
Unashindwa kunieleza kama unamwengine unaenzi
Kuniliko
Unanichanganya, nikidhani unanipenda sana
Alafu unabadilika, natamani siku zetu za hapo mwanzo

Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Haya haya haya haya hayafai
Haya haya haya haya hayafai
Haya haya haya haya hayafai
Haya haya haya haya hayafai

Unaniringia, huchukui simu
Kila saa nikuninunia
Natamani kuskia kutoka kwako
Kunitenda kunitesa na kunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Kunitenda kunitesa na kunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Haya haya haya haya hayafai

Watch Video

About Hayafai

Album : Hayafai (Single)
Release Year : 2020
Added By : Farida
Published : Jun 17 , 2020

More KIDUM Lyrics

KIDUM
KIDUM
KIDUM
KIDUM

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl