JUA CALI Chafuzi cover image

Chafuzi Lyrics

Chafuzi Lyrics by JUA CALI


Kazi ni kuwaua kazi ni kuchafua
20 years kwa game na bado nasumbua
Mnangoja tuzame mtangoja sana 
Ka kujinyonga nimekaza kamba

Hakuna uoga hapa najiaminia
Hakuna kutembelea hapa najikimbilia
Nabomoa kila kitu kwa njia yangu
Stambui compe mi naskiza tu ngoma zangu

Chafua ka mimi ndo usafishe rada
Kuwa ka mimi uone vile utawa-
Vumilia mtu wangu sahao mambo ya jana
Dunia ni yako we tesa kwa sana

Babylon walaghai hadi kura wanachai
Tunashinda jua kali wanashinda kwa kirai
Ka rada ya maplain niko riko bila gang
Jaribu kumaintain
Kula mbachu brejin 
Coz wangu alishikwa tena
Bila cashbail atazama tena
-- ikitublein hatutanego tena
Kidevu ya jaw asishikishe tena

Nilimteka once sikumvutia ever
Kamboka kakijipa nabatara tena
Nikiwa matire siwezi hema naihenya
Alitoboka asifikishwe mbwenya

Mtu wangu nachoma ka jua ya saa sita
Pen kwa mkono ngoma napika
Pakua mtu wangu kula shiba
Anua mtu wangu kula vimba
Kuwa home naogopa Corona
Toa noma songa kwa kona
Kwa quarantine hakuna kutoka
Msoto kwa sana hakuna kuomoka

We ni nani watu wamekusahau
Usitoke hivo kwa game funga bao angalau
Mtu wangu maliza hii kitu vile inafaa
Ama zikiwa chungu utalala njaa 

Watch Video

About Chafuzi

Album : Chafuzi (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 18 , 2021

More JUA CALI Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl