ADAWNAGE Hakuna cover image

Hakuna Lyrics

Hakuna Lyrics by ADAWNAGE


Tunakupa sifa zote, Bwana wa Mabwana
Uketiye kwenye Enzi, Mfalme wa wafalme
Makerubi, Maserafi, wote wakutazamia
Ulimwengu umejawa, utukufu wako Bwana

Hakuna, Mungu kama wewe
Hakuna, kamwe kama wewe
Hakuna, wa kulinganishwa nawe
Hakuna, Mungu kama wewe
Hakuna, hakuna, kamwe kama wewe

Nani aokoa (ni wewe)
Nani anaponya (ni wewe)
Nani abariki (ni wewe)
Mungu kama wewe

Nani anaweza (ni wewe)
Nani mkombozi (ni wewe)
Nani anaweza (ni wewe)
Mungu kama wewe

Mtetezi wangu (ni wewe)
Bwana wa mabwana (ni wewe)
Bwana wa majeshi (ni wewe)
Mungu kama wewe

Watch Video

About Hakuna

Album : Hakuna (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 06 , 2020

More ADAWNAGE Lyrics

ADAWNAGE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl