Tembea Nami Lyrics by JOHN NYAMBU


Mi naomba kwa yote safari
Utatembea nae nami 
Katika uovu nalo giza 
Yesu we unilinde

Nikae nawe Kristo
Mi nataka kuwa na wewe
Katika kila jambo na hali 
Yesu tembea nami

Tembea Nami
Usinawache pekee 
Nishike wangu mkono 
Uniongoze

Si mara moja au mbili 
Naomba uniongoze wakati wote
Ninapohisi upweke 
Uwepo wako uwe hakikisho Unami

Sitachoka kungoja na kuamini
Uliyo yasema kwangu mimi
Mapenzi yako pekee ewe Yesu
Mimi naomba yatimie (Tembea nami)

Tembea nami, usinawache pekee 
Nishike wangu mkono, uniongoze
Tembea nami, usinawache pekee 
Nishike wangu mkono, uniongoze

Hatua za mwenye haki
Zaongozwa na wewe Bwana 
Unarejesha Nguvu 
Kwa waaminie ndani yako

Sina uwezo
Mi naomba nguvu zako
Peke yangu mimi
Siwezi kufika mwisho

Mwenye nguvu, uwezo, tembea nami 
Watembeao nawe mwisho wa safari hufika
Mwenye nguvu, uwezo, tembea nami 
Watembeao nawe mwisho wa safari hufika

Tembea nami, usinawache pekee 
Nishike wangu mkono, uniongoze
Tembea nami, usinawache pekee 
Nishike wangu mkono, uniongoze

Nikae nawe Kristo
Mi nataka kuwa na wewe
Katika kila jambo na hali 
Yesu tembea nami

Nikae nawe Kristo
Mi nataka kuwa na wewe
Katika kila jambo na hali 
Yesu tembea nami

Watch Video

About Tembea Nami

Album : Nitakuabudu (Album)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 04 , 2021

More lyrics from Nitakuabudu album

More JOHN NYAMBU Lyrics

JOHN NYAMBU
JOHN NYAMBU
JOHN NYAMBU
JOHN NYAMBU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl