Ni Yesu Lyrics by JOHN NYAMBU


Kuna yule anipenda
Nilimkosea sana lakini bado kaniita 
Kaniambia mwana wangu njoo
Kanifanya  upya jina nalo kanibadilisha
Kasema yaliyopita nisiangalie Ashanisamehe 

Twasira ya maisha yangu kaifanya upya
Mwelekeo wangu kaugeuza
Twasira ya maisha yangu kaifanya upya
Mwelekeo wangu kaugeuza

(Aaaaaah.. aah)
(Aaaaaah.. aah)

Kuna yule anipenda
Alinisubiri hadi nilipopata njia kwa upole 
Hekima na ustadi wangu haungeniokoa
Toka Nguvu za giza ooh

Twasira ya maisha yangu kaifanya upya
Mwelekeo wangu kaugeuza
Twasira ya maisha yangu kaifanya upya
Mwelekeo wangu kaugeuza

(Aaaaaah.. aah)
(Aaaaaah.. aah)

Kunaye mmoja anatupenda
Jina lake ni Yesu, ni Yesu
Kunaye mmoja anayesubiri
Jina lake ni Yesu, ni Yesu 

Ni Yesu, ni Yesu (Anatupenda)
Ni Yesu, ni Yesu (Anasuburi)
Ni Yesu, ni Yesu (Anaokoa)
Ni Yesu, ni Yesu (Anabadili)

Watch Video

About Ni Yesu

Album : Siku Njema (Album)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 04 , 2021

More lyrics from Siku Njema album

More JOHN NYAMBU Lyrics

JOHN NYAMBU
JOHN NYAMBU
JOHN NYAMBU
JOHN NYAMBU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl