JAPHET ZABRON Napungukiwa Nini cover image

Napungukiwa Nini Lyrics

Napungukiwa Nini Lyrics by JAPHET ZABRON


Ndege, hawavuni
Hawapandi wala hawafanyi kitu
Mihangaiko, ya dunia sahau wala hawasumbukii
Sauti tulivu
Asabuhi huimba nakushukuru
Wanamjua awapae kuishi kamwe hawahofu kitu
Heeh’ ndivyo aishivyo amtumainie, muumba wa mbingu
Hahangaiki hahofii dunia na masumbuko yajayo

Napungukiwa nini, Napungukiwa nini
Nikiwa naye Yesu
Sina kiu ya kitu
Napungukiwa nini, Napungukiwa nini
Nikiwa naye Yesu
Sina kiu ya kitu

Huna tumaini
Umekwama na kesho inakutisha
Hufika muda
Peke yako, njiani waongea na kulia
Maisha mzigo
Umetengwa wapendwa kukukimbia
Nikukumbushe
Yupo Yesu rafiki hata usiwaze kitu
He he, ndivyo aishivyo
Amtumainie muumba wa mbingu
Hahangaikii hahofii dunia na masumbuko yajayo

Napungukiwa nini (nakosa nini)
Napungukiwa nini (zaidi nini Baba)
Nikiwa naye Yesu
Sina kiu ya kitu
Napungukiwa nini, Napungukiwa nini
Nikiwa naye Yesu
Sina kiu ya kitu

Mungu yupo upande wetu
Nani atakae kaa juu yetu
Tulia, tulia, tuliaa kwa Yesu

Watch Video

About Napungukiwa Nini

Album : Niku Mbuke (Album)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Aug 18 , 2022

More JAPHET ZABRON Lyrics

JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl