Midadi Lyrics by IZZO BIZNESS


Ata kama mia naokota iokota iyo
Ata kama mia naokota ikianguka

Yeah, eyo beautiful, beautiful girl
Leo kamazali vile uko na mimi
Leo kamazali mami hata siamini
Mtoto fani sio matawi ya chini

Maswaga flani mami mixer vimini
Ukitembea hivyo vikuku miguuni
Ata sijui sasa niseme nini
Maana kwako niko hoi taabani

Mahututi sijiwezi kitandani
Unataka nikuite jina gani?
Kendi, Reiny au Shanny?
Please mami sema na mimi

Kuhusu haters, niachie mimi
We unadhani watasema nini?
Mi striker na mpira uko kwapani
Kilicho baki ni kutia wavuni niamini

Sura ya Msomalia, uno Congo
Umenibana kwenye mbavu na kwenye mgongo
Ukicheka ukilia, hallo ni mrembo
Insta nakucheki wewe unamaliza bando

Oooh wacha wewe, wacha we
Unanipa midadi eeh
Aaah wacha wewe, wacha we
Unafanya kusudi wee 

Ata kama mia naokota iokota iyo
Unanipa midadi eeh
Ata kama mia naokota ikianguka
Unafanya kusudi wee 

Unanipa midadi eeh

We ukichora namba saba mi nachora nane
Nina kikubwa ninachohisi si tupendane
Yaani tuwe sare sare sisi tufanane
Usiende kwa mwingine, nisiende kwa mwingine

Tushikane tusiachane mpaka kwenye uzeeni
Wakiuliza mbona hivi mami by the daily
Wape jibu kwetu ni mapenzi kwetu sisogei
Wape jibu kwetu ni mapenzi kwetu sisogei

Kukesha kesha matabia yao ka popo
Wanataka tugombane hawa wanoko
Furaha yao kutuona kwenye msoto
Nawapa pole maana penzi letu la moto

Wakiguza waloungua wanaungua sana
Wanatuwinda lengo lao sisi kuachana
Tunawachora ka kideo tunawatazama
You call me baby mama, i call you baby mama right

Sura ya Msomalia, uno Congo
Umenibana kwenye mbavu na kwenye mgongo
Ukicheka ukilia, hallo ni mrembo
Insta nakucheki wewe unamaliza bando

Oooh wacha wewe, wacha we
Unanipa midadi eeh
Aaah wacha wewe, wacha we
Unafanya kusudi wee 

Ata kama mia naokota iokota iyo
Unanipa midadi eeh
Ata kama mia naokota ikianguka
Unafanya kusudi wee 

Unanipa midadi eeh

Kwenye giza unawaka
Hata kama mia naokota ikianguka
We ndo kifaa, aaah...

Kama umeniroga 
(Mia naokota ikota ikaa)
Unafanya kusudi eeh
(Mia naokota ikota ikaa)

Unanipa midadi eeh
Kama umeniroga
Mganga wako fundi 
Mganga wako fundi eeya

Sura ya Msomalia, uno Congo
Umenibana kwenye mbavu na kwenye mgongo
Ukicheka ukilia, hallo ni mrembo
Insta nakucheki wewe unamaliza bando

Oooh wacha wewe, wacha we
Unanipa midadi eeh
Aaah wacha wewe, wacha we
Unafanya kusudi wee 

Ata kama mia naokota iokota iyo
Unanipa midadi eeh
Ata kama mia naokota ikianguka
Unafanya kusudi wee 

Unanipa midadi eeh

Watch Video

About Midadi

Album : Midadi (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 21 , 2019

More IZZO BIZNESS Lyrics

IZZO BIZNESS
IZZO BIZNESS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl