IBRAH NATION Penzi Lako cover image

Penzi Lako Lyrics

Penzi Lako Lyrics by IBRAH NATION


Hatuwezi kuachana kirahisi hivi
Baby walimwengu wana visa vingi
Najua unanipenda
Na mimi nakupenda sana maaa baby
Hatuwezi kuachana kirahis shawty

Baby najua unampango wa kando
Unanizingua unaharibu mipango
Promises huwa maumivu zikivunjika
Bado sijajua why unaondoka unakwenda ng`ambo
Mbona siku kama hizi ulinionesha upendo
Sikua na ajizi nikakuamini commando
Unang`oa mizizi unakatisha pendo
Hata kwa irizi huwezi ukaliziba hili pengo ooh yeah
Hatuwezi kuachana kirahisi hivi
Baby walimwengu wana visa vingi yeah

Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua
Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua

Hauwezi kuondoka kirahisi hivi
Baby ujue tumepanga vingi
Najua unanipenda
Na mimi nakupenda sana baby
Hauwezi kuondoka kirahisi shawty
Hata hatuja gombana
Hata hatuja kunjana baby
Hatuja fumaniana
Nashangaa sura yako inakunjamana mama
Mbona siku kama hizi
Ulinionesha upendo
Sikua na ajizi nikakuamini commando
Unang`oa mizizi unakatisha pendo
Hata kwa irizi huwezi ukaliziba hili pengo ooh yeah
Hatuwezi kuachana kirahisi hivi
Baby walimwengu wana visa vingi yeah

Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua
Penzi lako maua maua
Moyoni lanukia nukia
Mbona unani bagua bagua
Maumivu hujayatambua

Watch Video

About Penzi Lako

Album : Penzi Lako (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Apr 30 , 2021

More IBRAH NATION Lyrics

IBRAH NATION
IBRAH NATION
IBRAH NATION
IBRAH NATION

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl