Mapenzi ya 30 Lyrics by HEZIM


Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Wengi wafurahia sana 
Wengi wafurahia sana 

Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Wengi wafurahia sana 
Wengi wafurahia sana 

Moyo wangu unapona nikikuona
Unameta kama taa my love
Nipe upendo wako
Give me your love ooh

She so good I kinda love to die for
She so good that typa love oh

Napendwa napendwa, mimi napendwa
Napendwa napendwa, mimi napendwa
Napendwa napendwa, mimi napendwa
Napendwa napendwa, mapenzi ya 30 napendwa

Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Wengi wafurahia sana 
Wengi wafurahia sana 

Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Wengi wafurahia sana 
Wengi wafurahia sana 

Feeling so good when you find someone good
Loves you so good that you found someone good

Yule anayekupenda jinsi unavyompenda
Mpende anayekupenda, mpende anayekupenda
Ukipapata pema, mapema wewe enda

Napendwa napendwa, mimi napendwa
Napendwa napendwa, mimi napendwa
Napendwa napendwa, mimi napendwa
Napendwa napendwa, mapenzi ya 30 napendwa

Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Wengi wafurahia sana 
Wengi wafurahia sana 

Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Mapenzi ya 30, mapenzi ikishika
Wengi wafurahia sana 
Wengi wafurahia sana 

 

Watch Video

About Mapenzi ya 30

Album : Mapenzi ya 30 (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 16 , 2021

More HEZIM Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl